Klabu ya Barcelona imeripotiwa kuwania saini ya nyota wa Inter Milan Lautaro Martinez kama mbadala wa Luis Suarez katika dirisha hili la usajili.
Kocha mpya wa klabu ya Barcelona, Ronald amesema kuwa Suarez hayupo katika mipango yake ya msimu ujao hivyo kuwataka Barcelona waongee na mchezaji huyo kufikia makubaliano ya kusitisha mkataba na nyota huyo.
Koeman alietambulishwa kama kocha wa wababe hao wa Catalunya mwezi huu kuchukua nafasi ya Quique Setien aliyefurushwa baada ya kipigo cha 8-0 kutoka kwa Bayern Munich katika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, amepanga kukifanyia marekebisho makubwa kikosi hicho
Hali mbaya ya kiuchumi na migogoro katika uongozi wa klabu hiyo unafanya hatima ya wachezaji wengi wa timu hiyo kuwa katika hatihati, hili la Suarez linakuja ikiwa hatima ya Lionel Messi na nyota wengine wa kikosi cha kwanza ndani ya klabu hiyo bado haijajulikana.
Licha ya kuambiwa na Koeman kuwa hayupo katika mipango yake ya msimu ujao, Luis Suarez ameripotiwa kuwa anapendelea kuendelea kuwa sehemu ya kikosi hicho lakini hilo litategemea maamuzi ya viongozi wa juu wa klabu.
Luis Suarez aliejiunga na Barcelona mwaka 2014 amekua na mafanikio makubwa klabuni hapo. Suarez amefanikiwa kuwa mfungaji bora wa pili kwa muda wote aliodumu katika kikosi hicho nyuma ya Lionel Messi. Msimu uliopita alifanikiwa kuifungia Barcelona jumla ya magoli 24 katika mashindano yote (La Liga, Mechi za Kirafiki na Ligi ya Mabingwa Ulaya).
Beti Mbio za Mbwa Mubashara
Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.
magdalena
martinez si haba naye yupo vizuri katika soka tunataka kuona ushirikiano wake katika timu
felister
dah kumbe kweli Suarez anaondoka Barcelona😭
Zeiyana
Koeman kweli anataka kuweka mabadiliko ndani ya club ya barca.
Luck
Daah sasa itakuajee
Devotha
Duuh hii habari mbaya kwa wapenzi wa barcelona
Povel
Habar njema kwa mashabik wa barcelona Kama dili hlo litakamilik replacement sahh ila suarez hawamtendeh haki Kama watamwacha kuondok hv hv bila hata party ya kumuaga legendary hyo
Caroline
Habari njema kwa mashabiki
Gabriel
Ni habar njema na mchakato mzur wa koeman kutaka kumsajil Lautaro Martinez
ambaye n kijana kabisa mbadala wa Luis suarez ambaye umri umeshaeenda sana 👍 nimeupenda huo usajil
Rehema
Ni habari mzuri kwa mashabiki
Fatuma kasomo
Gud news
Ernest
Kutokana na hali ya uchumi tuu ndio itasababisha Barcelona wasiweze kukaa na wachezaji wote wawili yaani Suarez na Martinez ila ingekuwa jambo zuri kama wote wangekuwepo Barca ili kujiweka katika nafasi nzuri zaidi ya kutwaa makombe
jullie
iko poa sana
Furahav
Karibu martinezi.
Amiri Kayera
For me ni chaguo sahihi
Rose kapinga
Maamuzi sahihi!!!
Issa
Matinez duh ni noma
Sabrina
Sio mbaya ila kocha anatakiwa akisuke kikosi chake ipasavyo maana Barcelona ya Sasa mauza uza
Shafii
Nadhani mwalimu anajua kwamba mbadala wake ndio huu.
Genia Sikaluzwe
Huyo ni mchezaji mzuri anaweza kua mbadala wa Suarez.
Dorophina
Suarez atafute klabu nyingine ya kuitumikia tu amalizie miaka yake
Ester jackson
Habari njema kwa mashabiki wa Barcelona
Mwajumah
Koemon kweli anataka kuleta mabadiliko ndan ya barca#Meridianbettz
Khadija
Habari njema kwa mashabiki wa barcelona
Mwanahamisi
Daah Sasa itakuajea
Fatina mfingi
Duuh
Sauda
Uamuzi mzuri
Nasra
Hii balaa
Adelta
Koemani anataka kuleta mabadiliko
@meridianbettz
Fatuma kasomo
iko poa
aisha
Barcelonaa duuh itakuaje
Neema
Uamuzi huo ni fresh
Salma ngende
Chaguo zuri
Sadick
Duh maisha yanabadirika kwa kasi kubwa kutoka kwenye utatu maridhawa Messi na Naymar hadi kuonyeshwa mlango wa kutokea! Bado suarez ana uwezo mkubwa wa kufunga endapo atacheza timu sahihi#meridianbettz
Shan
Suarez umri ushamtupa mkono.
Saupha mohamed
Good news
Lydia Emmanuel Magoti
Duu Sasa itakuwaje Barcelona ndio washaamua huwamuzi wao Suarez ndoanandoka jembee daa
David Pere
Habar njema kwa mashabik wa barcelona Kama dili hlo litakamilik replacement sahh ila suarez hawamtendeh haki Kama watamwacha kuondok hv hv bila hata party ya kumuaga legendary hyo
warda
Wako Vizuri sana