Nyota wa Barcelona Sergi Roberto amepima virusi vya corona na kupatikana na maambukizi, klabu imetangaza.
Roberto, ambaye aliumia paja kwenye mechi dhidi ya Atletico Madrid mwezi uliopita, tayari alitakiwa kusalia nje ya uwanja hadi Januari kutokana na changamoto ya jeraha.
Barca iliripoti Jumatano kwamba Roberto “ana afya njema na anatengwa nyumbani”.
Taarifa ya klabu imeongeza zaidi kuwa tayari imewafahamisha maafisha wa afya na vitengo vyote vunavyohusika klabuni hapo, huku watu wote wa karibu wanaotajwa kuwa na mawasiliano, na huenda walikutana na staa huyu hivi karibuni wakifuatiliwa kwa ukaribu kupata vipimo.
Beki huyu wa kulia Roberto alikuwa amepata nafasi ya kuanza katika michezo saba kati ya nane ya Barcelona kabla ya kupata jeraha lake, licha ya kusainiwa kwa Sergino Dest kutoka Ajax.
Dest alimtangulia Roberto kwenye Clasico ya Oktoba, ambayo Real Madrid ilishinda 3-1.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uhispania – pia ana uwezo wa kucheza kama kiungo – amefunga mara moja kwenye mechi ya LaLiga msimu huu, akitoa usaidizi wa magoli mara 2 katika nafasi 10 alizotengeneza.
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!
Angelina
Habar mbaya kwa mashabiki wa barcelona
Johnmary jo
Hii no habari mbaya jamaniimeridianbett#
Lydia Emmanuel Magoti
Duu sio poa Corona atarishi
lombo
duuh
Magdalena
Huu ugonjwa ni balaa
Adelta
Coronavirus sio poa kabisaa
Sabrina
Duuh pole yake
Fatina mfingi
Corona sio powah!
Caroline
Poleni sana
Tatu
Corona sio poa
Dorophina
Pigo kwa klabu ya barca
Povel
Get well soon
David Pere
Beki huyu wa kulia Roberto alikuwa amepata nafasi ya kuanza katika michezo saba kati ya nane ya Barcelona kabla ya kupata jeraha lake, licha ya kusainiwa kwa Sergino Dest kutoka Ajax.
Issa
Covid inatisha
Hopemwaikuka
Majangaa
Janeflora malisa
Dah
[email protected]
Nouma sana
Mariam mtandama
Safi
samiah
Pole sanaaa
warda
Hii Corona inataka kutuaribia sana hali ya hewa