Mshambuliaji kinda wa Barcelona, Ansu Fati, na mfungaji bora wa muda wote wa klabu hiyo, Lionel Messi wameiwezesha klabu hiyo kuzidi kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi ya La Liga baada ya kuwafunga Leganes hivyo kupelekea Barcelona kuibuka na ushindi wa 2-0 katika uwanja wa Camp Nou.
Ansu Fati aliwafungia Barcelona goli la kwanza katika dakika ya 43 ya mchezo huo, na hilo ni goli lake la tano katika msimu huu huu wa ligi.
Goli la lipi la vijana hao wa Quique Setien lilifungwa katika dakika ya 69 kwa mkwaju wa penati uliowekwa kimiani na Lionel Messi, almanusura Barcelona waondoke na ushindi wa magoli matatu lakini bahati haikua upande wao baada ya goli la Antoine Griezmann kukataliwa kupitia VAR.
Baada ya ushindi huo Barca wanasalia kileleni katika msimamo wa La Liga wakiwa na jumla ya alama 64 katika michezo yao 29 huku yakiwaacha Leganes mkiani kabisa katika msimamo huo na alama zao 23.
Matokeo Mengine La Liga
Espanyol waliweza kupata sare ya 0-0 na Getafe hivyo kuzidi kujiondoa taratibu katika hatari ya kushuka daraja inayowakabili hivi sasa.
Espanyol walicheza jumla ya dakika 74 wakiwa pungufu baada ya beki wao Bernado Espinosa kutolewa nje kwa kadi nyekundu katika dakika ya 16 tu ya mchezo huo
mwakalosi
japo wananafasi nzur ligi bado ngumu point 64 kwa 59 wakati Madrid bado hajacheza mechi yake akishinda ni gape ya point 2 tu mtanange bado mgumu
Omary lukumbi
Duuh hongera yao hii wameonesha kua bado wako strong mpk sasa
Mwanaidi
Wapo katika nafasi nzuri ila wasijiamini sana wakadhani ndio wamemaliza kila kitu kwani wanaweza wakazidiwa kodogo tuu kwa point chache na wakapigwa chini
Aziza mushi
Hongera kwao inaonekana bado wapo vizuri sanaa
lombo
habari njema wakaze buti
Rehema
Hongera kwao inaonekana wako vizur
Gabriel
Mchezo bado mgumu sana wasijiamin kuwa kilelen kwan matokeo yanaweza kupinduka muda wowote japo nafasi waliyokuwa nao Barcelona n nzur lakin ajaribu kumuangalia na madril nae anamichezo mingi
Devotha
Lakini bado anahitaji ushindi zaidi ili waendelee kubaki kileleni
isha
Barcelona big up sana
Neema
Nawapa hongera sana ila wasibwete
JULIANA
Habari njema
Shafii
Barca naamini kombe lakwake hilo hana mpinzani kwa msimu huu
Elika
Hongera kwao sanaa
warda
Nilijua tu watashinda#Meridianbettz
Mwanahamisi
Namkubali sana barcelona
Tahiya
Barcelona jeshi
Agness
Nihabari njema
Furahav
Barca wako vizuri msimu huu.
Antony Luseno
Hiyo nafasi sidhani kama yupo wa kumtoa apo kileleni
Njiku
Bado wanawakati mgumu barca maana muasimu wake yupo nyuma yake real madrid
Issa
Barcelona wazidi kujikita tu kwa kutumia wachezaji wake kina messi na kinda ansu fati wataliweza hilo
Zeiyana
Chama langu kazeni mbebe kikombe hicho
Sabrina
Maoni:Barcelona wapo vzuri
Khadija
Barcelon jembe nawakubali sana#meridianbettz
Magdalena
Wakaze buti wachukue ubingwa
Johnmary joel
Barcelona wamenipa hela hongeren messi big up#meridianbett
Caroline
Mambo ya Messi ayo
Mariam mtandama
Habari mjema
Hamidu
Barca wapo vzr#meridianbettz
Dorophina
Kweli la liga imenoga nyasi lazima zingoke
Theckla
Mapambano bado ni mgumu wasibweteke tu kuona tayari ubingwa ni wao
Samira
Habari nzuri sana wazidi kusonga mbele na kufikia lengo
Genia Sikaluzwe
Barcelona’ wako vizuri kwenye mpira
Sadick
Kipute bado kigumu kujihakikishia Ubingwa, wanachofanya ni kuombea Real Madrid wapoteze mechi ijayo#meridianbettz
Fatuma kasomo
Hongera kwao imeonyesha wapo vizur
tumaini
Maoni:wako vizuri sana
Ester jackson
Lion messi umenipa ushindi wa mkeka wangu kwa pent hongera sana Barcelona
Latifa juma mohamed
Big up in one, wameonyesha bado wanauwezo mzuri.
Evaluziga
Hongere Sana wanaonekana wako vizuri
Neema hassan
Pongezi kwao
Frank Patrick
Tutalithibitisha hili baadala ya game mbili zijazo za barca na real
Aisha
Congltion kwao
David Pere
Hawezi kubaki milele ile ni ligi ngumu kwa Sasa sababu rear madrd nao wanataka ubingwa
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana Barcelona ubingwa waho
Christopher
Kazi kwao, Madrid
Haulath/Lath graffix
Barselona wanajitahd sana
Hope mwaikuka
Barca wana juhudi sana
Povel
Ligi bado sana kwn mpnzan wake naye anakuj mbio za swala thnks meridian bet kwa information
Ernest
Nadhani Barca wananafasi kubwa sana mbali na upinzani mkubwa kutoka kwa Madrid
Salma
Tupo vizuri
Emmy cleopa
Habar njema
felister
big up barcelona
Theonestina
Pongezi kwao Barcelona
nasra
Safii Barcelona
farida ahmadi
Hongera Sana Barcelona habari nzuri
Tatu
Habari njema