Klabu ya Barcelona ya Uhispania wanatumai wanaweza kumnasa Sergio Aguero na David Alaba kwa uhamisho wa bure msimu huu wa joto baada ya mikataba yao kumalizika huko Manchester City na Bayern Munich kama ilivyoainishwa.
Aguero anatarajiwa kuondoka Etihad baada ya miaka 10 ambayo imemwona kuwa mfungaji bora wa muda wote wa kilabu akiwa na mabao 256 na kuinua mataji manne ya Ligi Kuu ya Uingereza.
Walakini, majeraha tangu hapo yamemkuta mchezaji huyo mwenye miaka 32 na sasa ametimiza mwaka mzima bila kufunga bao la Ligi Kuu pale Etihad.
Alaba pia aliweka wazi kwamba hawawezi kuongeza mkataba na waajiri wake wa sasa, Bayern Munich baada ya kudumu kwa kipindi cha muda mrefu.
Barcelona inaangalia uwezekano wa kuwanasa wachezaji hao bila malipo (huru) mara kandarasi zao zitakapo kamilika katika majira ya kiangazi.
Ukiachana na Balcelona vilabu kama Real Madrid, Manchester United, PSG, Chelsea na Liverpool zimeonyesha nia ya kuwanasa wachezaji hao.
Pokea mualiko wa Meridianbet na Pragmatic Play kutengeneza mkwanja kwenye kasino ya mtandaoni sasa. Jiunge sasa kupata ishindi huu.
Adelta
Wafanye mpango wamchukuwe kijana Yuko vizuri
Angelina
Alaba yuko vizuri
Magdalena
Barca watulie hawana maajabu sasa
Venerose
Alaba namkubali
Dorophina
Barca wakiwapata miamba hao wawili wataenda kuisaidia klabu
Caroline
Aguero yupo juu
Ernest Kimeru
Wazo la kumvuta Aguero Barca ni la kushangaza sana kwani Barca inahitaji kurudisha heshima yake kwenye ulimwengu wa soka lakini Karata yao kwa Aguero ni kazi bureeeee
Shakila mrope
Aguero yuko makini
Hopemwaikuka
Wanafaa sana
Lydia Emmanuel Magoti
Wapo vizuri
Neema juma
Wote wako vizuri
warda
Barca wakimpata Alaba itakuwa poa sana
Rahmal
Alaba Yuko poq
Sarah
Wapo vizuri