Raisi wa Barcelona Josep Maria Bartomeu amesisitiza kuwa Lionel Messi alishasema kuwa anataka kustaafu kalabuni hapo. Bartomeu amezungumzia hili kufuatia tetesi za Messi kutaka kuondoka klabuni hapo.
Taarifa zilizovuma zaidi wiki iliyopita na mwishoni mwa mezi Mei ni kuwa kuna baadhi ya mambo yamemchosha Messi. Hivyo mpango wake wa sasa ni kuondoka klabuni hapo.
Mshindi huyu wa mara 6 wa Ballon d’Or amesaini mkataba na Barcelona hadi 2021. Kufuatia hali ya uhusiano wake na klabu, ripoti nyingi hasa za Alhamisi zilitaja kuwa anafikiria kuondoka. Wakati huo klabu za PSG na Man United zikitajwa kama klabu zilizokaa chonjo kuinasa saini yake.
Lionel Messi amekuwa akitoa mchango mkubwa kwa Barcelona kwa mda mrefu. Wajuzi wa mambo huwa wanatania kuwa Messi akiondoka, basi anasepa na sifa za Barcelona. Hapa ina maana Barca watakuwa kama nyuki wa mashineni pale La Liga. Kwako imekaaje hii?\

Raisi Bartomeu alivyoulizwa, hakutaka kuzungumzia hili moja kwa moja. Kwa kifupi alisema kuna mazungumzi yanaendelea na wachezaji wengi. Alisitiza kuwa hawezi kuwa anatoa taarifa kila siku za kinachoendelea au mchezaji mmoja mmoja.
“Siwezi kuelezea kwa undani kile kinachoendelea kila wiki. Kuna mazungumzo na wachezaji wengi. Kwa Messi yeye alishasema kuwa anataka kustaafu Barcelona.”
-Josep Maria Bartomeu
Inakumbukwa kuwa klabu ilikuwa tayari kumpa Messi mkataba wa Maisha. Lakini staa huyu alikataa ofa ya mkataba huo kwa kuwa alikuwa hataki kujifunga kuja kufanya maamuzi tofauti baadaye. Lakini kwa sasa kuna sintofahamu juu ya hatma yake.
Unajua kuwa Meridianbet wanatoa mizunguko 50 ya bure kwa mteja mpya? Jisajili sasa na ufurahie burudani na ushindi wa Kasino ya Mtandaoni.
Ni uvumi tu messi hawezi kuondoka barcelona
Messi awezi kuondoka Barcelona labda astaafu
Ni uvumi tu
Hizo n habar za magazeti na tetesi tuu kwa vyombo vya habar ila messi hawezi kuondoka pale Barcelona mpira wake atamalizia pale mimi sion mtu wa kuondoka pale labda wachezaji wengine ila sio messi
Messi asiondoke asubiri amalizie muda wake apoapo Barcelona umri ushaenda
Kwanza akiondoka Barcelona itadorora sana maana ndo tegemezi lao kubwa
Huyu Messi Nae kustaafu hapo Bac vipi jamani Si Aje Man U#Meridianbettz
Messi awezi kuondoka Barcelona pale ndipo mpila ulipo laliha natastafu apo apo Barcelona
Messi yuko vizuri sana hawezi kuhama barcelona
Ni maneno tu mess awezi kuondoka Barcelona
Messi awezi kuondoka Barcelona pale ndipo mpila ulipo laliha natastafu apo apo Barcelona
Lisemwalo lipo Kama halipo linakuja
Hawezi kokote Messi zaidi ya Barceloona
Kijana katisha hana simama kwenye msimamo wake safi sana
Kama vipi ahame timu ili heshima take ibaki vilevile pale Barcelona na hispania kwa ujumla ili aje kujumbukwa baadaye
Daah! Asihame hapo mpka atakapostaafu mpira.
Messi ni mchezaji wa Barcelona hadi hapo atakapo maliza career yake ya mpira istoshe messi mwenyewe anaipenda Barcelona ile kutoka moyoni ukitupilia mbali tu Kama ni sehemu yake ya kazi damu ya messi ni Barcelona tupu.
Maneno t hayo
Aendelee kubaki kwanza Barcelona’s
Messi ana miaka 33, kustaafu akiwa Barcelona ni heshima kwake na endapo ataamua kuondoka timu itayumba kwa muda fulani kwasasa imejengwa kutokana uwepo wake#meridianbettz
Messi Barcelona ndio kashafika
Huyo barcelona ndio kashafika#meridianbettz
Ni uwamuzi mzuri
Sio mbaya Mana hata mri umeenda
Habari nzuri hizi#meridianbett
Messi akiondoka Barcelona itakuwa kwny wakati mgumu sna ila kweli umri umeenda San sio mbaya akistaafu soka
Ipo wazi hii Messi hawezi toka barca na kwenda kucheza timu nyingine mpaka kustaafu soka inajulikana hii yeye ni kama mfalme pale barca
Messi mwenyewe alishasema kuwa atastaafu soka akiwa kwenye timu yake Bacerlona kwahiyo hao wengine wanajisumbua tu ,Messi ni Bacerlona damu
Maneno tu hayo yasitupe shda
Mwache tu astafie hapo hapo maana kwa tetesi hata wakimchukua man u hatoweza kabisa kucheza pale… Ni bora Tu abaki pale maana hata time yake ya Argentina inamshinda..
Messi ni mfalme wa soka wa Barcelona hawezi kuondoka barca atastaafu akiwa hapo hapo barca.
Kwa mess.kuondoka bado
Kwa Hali ilivyosasa ndani ya Barca sio rahisi kwa Messi kumalizia soka lake akiwa na Barca
Messi akiondoka litakuwa bonge lajanga kwa Barcelona
Hizo ni tetesi tu ila ukweli ndo huo messi kuondoka barcelona sio rahisi
Nenda tu messi katafute changamoto mbele.
Muda ukifika ataondoka
Habar njema
Kwa umli wake vyema amalizie hapo mpila wake
Maoni:Huo ni uvumi tu
Huu ndo uwamuzi wake safi
Nice
Lionel Messi amekuwa akitoa mchango mkubwa kwa Barcelona kwa mda mrefu. Wajuzi wa mambo huwa wanatania kuwa Messi akiondoka, basi anasepa na sifa za Barcelona.
Hata akihama mchango wake kwa Barca utakimbukwa
Hayo ni maneno ya waandishi ambao wanataka kupata umaarufu katika kazi zao ili ikuwe kirahisi sisi tunataka ahame kabisa au aendelee kubaki mana tumeshasikia Mara kwa Mara kuhama kwake lakini hatuoni kuhama kwake.
Messi anazeeka na mpira wake lkn umri bado kidogo unaruhusu haendelee kuichezea Barcelona
Itakuwa vizuri piya sababu muda umenda
Habar nzur sana 👍
Messi hawezi kuondoka barcelona
Asanteni kwa makala
Messi anapapenda Barcelona
Messi kama donge nene linatokea we sepa tu,