Bayern Kwenye Nafasi NZuri Kumnasa Georginio Wijnaldum

Georginio Wijnaldum ameripotiwa kuwa na mwenendo mzuri wa mazungumzo na Bayern Munich.

Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp amethibitisha kwamba mchezaji huyo wa kimataifa wa Uholanzi ataondoka Anfield mkataba wake utakapomalizika mwishoni mwa mwezi Juni, hivyo mechi ya Ligi Kuu ya England Jumapili dhidi ya Crystal Palace ilikuwa mchezo wa mwisho wa kiungo huyo akiwa na miamba hao wa Merseyside.

Barcelona ilikuwa imehusishwa pia na Mholanzi huyu msimu uliopita wa joto na pia mapema mwaka huu, lakini hamu ya klabu cha Kikatalani kumsajili staa huyu inaonekana kupoa kwa sasa.

Bayern Kwenye Nafasi NZuri Kumnasa Georginio Wijnaldum
Georginio Wijnaldum

Paris Saint-Germain walidhaniwa kuongoza mbio za kumnasa Georginio Wijnaldum, mchezaji wa miaka 30, ambaye alicheza katika mechi zote 38 za Ligi Kuu ya Liverpool mnamo 2020-21.

Hata hivyo, kwa mujibu wa Sport1, majadiliano mazuri sasa yamefanyika kati ya Bayern na Wijnaldum, na staa huyu ana hamu ya kujiunga na mabingwa wa Ujerumani kabla ya kampeni ya 2021-22.

Mholanzi huyo ataondoka Anfield akiwa ameshinda Ligi Kuu, Ligi ya Mabingwa, Kombe la Super na Kombe la Dunia la Klabu wakati kwa miaka mitano alipokuwa hapo.

 


 

Bonasi ya 50% Kila Siku Katika Kasino za Evoplay hapa Meridianbet.

Meridianbet na Evoplay Kasino wanakupa bonasi ya 50% ya kiasi utakachoweka katika akaunti yako leo. Unasubiri nini ni wakati wa kupiga pesa sasa na Mabingwa.

tuchel, Tuchel :Tuna Bahati Tottenham Wametusaidia Kazi., Meridianbet

SOMA ZAIDI

 

2 Komentara

    Nice update

    Jibu

    Waweke dau nono mezani

    Jibu

Acha ujumbe