Benzema, Carvajal Kuwakosa Alaves.


Wachezaji wa Real Madrid, Karim Benzema na dani Carvajal wataukosa mchezo dhidi ya Alaves katika ligi kuu ya Uhispania siku ya leo.

Kikosi cha Real Madrid leo asubuhi kimefanya mazoezi katika viwanja vyao vya Valdebebas pasipo nyota hao.

 

Karim Benzema ambaye huenda akaukosa mtanange dhidi ya Alaves hapo baadae leo Jumamosi na huenda akarejea katika mchezo dhidi ya Shakhtar Donestsk huko Ukraine hapo Jumanne.

Lakini pia Dani Carvajal anatazamiwa kutokuwepo kikosini baada ya kukosekana mazoezini na tayari klabu imethibitisha kuwa ana jeraha kwenye paja lake la kulia.

Hali kadhalika pia Sergio Ramos bado anaendelea na mazoezi binafsi tofauti na kikosi baada ya jeraha alilolipata katika mchezo wa kimataifa huku pia Fede Valverde na Alvaro Odriozola wakikosekana.


USICHELEWE KUKAMATA MKWANJA HUU!

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

17 Komentara

    Sasa itakuaje?

    Jibu

    Atali

    Jibu

    Duu pole yake

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Poleni sana

    Jibu

    Duuh pole yao

    Jibu

    Real Madrid ina wakati mgumu mno msimu huu, imeuza wachezaji na haijasajiri

    Jibu

    Pole yao madrid imekosa wachezaji wazuri kwenye mechi hii sijui ht itakuwaje

    Jibu

    Madrid wapo katika wakati mgumu sana

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Jomoni Pole yao

    Jibu

    Benzema safi sana madrid

    Jibu

    Pole yako umekosa mechi

    Jibu

    Asnt kwa taarif meridianbet

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Hii ilikuwa kama Morrison alivyoikosa Yanga

    Jibu

Acha ujumbe