Wachezaji wa Real Madrid, Karim Benzema na dani Carvajal wataukosa mchezo dhidi ya Alaves katika ligi kuu ya Uhispania siku ya leo.
Kikosi cha Real Madrid leo asubuhi kimefanya mazoezi katika viwanja vyao vya Valdebebas pasipo nyota hao.
Karim Benzema ambaye huenda akaukosa mtanange dhidi ya Alaves hapo baadae leo Jumamosi na huenda akarejea katika mchezo dhidi ya Shakhtar Donestsk huko Ukraine hapo Jumanne.
Lakini pia Dani Carvajal anatazamiwa kutokuwepo kikosini baada ya kukosekana mazoezini na tayari klabu imethibitisha kuwa ana jeraha kwenye paja lake la kulia.
Hali kadhalika pia Sergio Ramos bado anaendelea na mazoezi binafsi tofauti na kikosi baada ya jeraha alilolipata katika mchezo wa kimataifa huku pia Fede Valverde na Alvaro Odriozola wakikosekana.
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.
Adelta
Sasa itakuaje?
Rahma
Atali
Lydia Emmanuel Magoti
Duu pole yake
Khadija
Pole sana
Nasra
Poleni sana
Sabrina
Duuh pole yao
Sadick
Real Madrid ina wakati mgumu mno msimu huu, imeuza wachezaji na haijasajiri
Dorophina
Pole yao madrid imekosa wachezaji wazuri kwenye mechi hii sijui ht itakuwaje
Magdalena
Madrid wapo katika wakati mgumu sana
Sauda
Pole yao
Latifa juma mohamed
Jomoni Pole yao
Issa
Benzema safi sana madrid
Ester jackson
Pole yako umekosa mechi
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif meridianbet
Tatu
Pole yao
samiah
Pole yao
warda
Hii ilikuwa kama Morrison alivyoikosa Yanga