Bifu kubwa zaidi duniani ni Viungo wa chini na wajuu hilo ni bifu la asili, ni bifu hili linawafanya Viungo wa chini kuonekana Punda na hakuna wanachofanya, weka nukta hapo
Eric Cantona ana bifu lake kubwa sana na Didier Deschamps, Wafaransa wawili hawa wasiopenda kabisa ni mwanzo waandishi walidhani labda ni battle of brilliance lakini ilikuwa ni battle of attitude.
Eric Cantona alikuwa na kitabia chake cha dharau kwa viungo wakabaji, sasa Deschamps anakaba mpira anawapa wao ila wanapoteza kirahisi sana, Deschamps akamwambia kwa Kifaransa “Pourquoi perdez-vous le ballon facilement”
Kwanini Eric unapoteza mpira kirahisi?? Ndicho aliuliza, Cantona alimwambia tu kazi yako wewe ni kukaba huko na kutupa sisi mpira Mafundi tuuchezee, ndicho hiki kilileta bifu kubwa sana, ni laana hii ikabaki kwa viungo wote wa chini.
Unamfahamu Jonas Mkude wa Simba?? Mnawaimba sana wakina Chama, ni dhambi hiyo, Mnawaimba sana wakina Miquissone ni dhambi hiyo, hamumtaji Mkude sana, tena tunaenda mbali na kusema ni Kiungo wa kazi moja tu, weka nukta hapo.
Mchezo kati ya Tanzania na Tunisia pale Taifa, kulikuwa na battle ya Jonas Mkude na Ferjani Sassi, Kiungo wa Zamalek na Tunisia huyo, gameplan za timu zote mbili kuna muda ziliategemea hawa, mwishowe sifa akazibeba Fei Toto na Wahbi Khazri.
Katika mchezo ule Ferjani wa Tunisia alipiga pass 63 za usahihi na tija sawa na 92% wakati huo Jonas Mkude alimfuatia na pass 62 sawa na 90% bahati mbaya hakuna aliewaona na hakuna aliewaimba watu hawa.
Mkude na Ferjani haikuwa tu mchezo bali Tactical battle and battle of brilliance, dunia inawasahau sana hawa.
Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.
Fatuma kasomo
Asante kwa taarifa meridianbet
aisha
Maisha yenyewe mafupi bifu la nini watu tufanyeni kazi tuache ujinga
Hopemwaikuka
Duh! Ndo maisha yetu haya
Mwajumah
Bifu sio zuri jamn hasa iyo sekta ya michezo kwan wakiendeleza mabifu hawatakua na matokeo mazuri
Saupha mohamed
Maisha ya bifu si mazuri kabsaa
Ester jackson
Ni kawaida kwenye soka la Mpira au mahali popote penye watu wengi lazima vitu kama hivyo kutokea
Adelta
Hivi ni vitu vya kawaida kwenye watu wengi
felister
ni kitu cha kawaida kwny soka
Elika
Haya maisha sio poa yanini kugombana
Angelina
Mabifu hayafai fanyeni kazi
Shakila mrope
Asant kwa taarifa
Fatina mfingi
Mabifu sio kitu kizur
Sauda
Mabifu hayafai jamani.
Amani
Bifu lao la muda sana
Lydia Emmanuel Magoti
Mabifu sio kitu mabifu uludisha nyuma vitu kwakweli
Caroline
Bifu sio nzuri sana.ishini kwa amani.
Sadick
Binadamu siku zote tunamusifia muhudumu aliyeleta chakula kitamu mezani, hatumbuki mpishi na mnunuzi wa vyakula
Nasra
Bifu sio zuri
Povel
Nice information
Janeflora malisa
Si poa
magdalena
viongozi wao wanabidi wakae chini wasuluishe tofauti zao maisha na bifu si mazuri
Tatu
Kwann lakini
Mariam mtandama
Vizur
warda
Haya mambo kawaida sana