Mshindi mara mbili wa michuano ya Olympic na ambaye anashikilia rekodi ya kushinda kukimbia mbio za umbali wa 800m duniani, David Rudisha atakaa nje ya uwanja kwa muda wa majuma 16! Hii imetokana na yeye kuumia kifundo chake cha mguu wa kushoto.
Mwanamichezo huyo mwenye umri wa miaka 31 aliumia sehemu hiyo ya mwili wake akiwa kijijini kwao Kilgoris, magharibi mwa taifa la Kenya siku ya tarehe 19 mwezi Mei ambapo madaktari wake wanasema kuwa uchungizi wa karibu zaidi uligundua kuwa amepasuka kifundo cha mguu.
“Hatukuweza kufanya upasuaji kumtibu ambapo sasa mchezaji huyo atakuwa chini ya uangalizi maalum kwa siku moja inayofuata,” aliyasema hayo Victor Bargoria, ambaye ni mtaalam wa upasuaji, akiwaambia AFP, akaongezea kuwa itamchukua muda wa wiki 16 kwa mchezaji huyo kuanza tena mazoezi yake.
Rudisha, ambaye ameshinda rekodi ya 2012 London Olympics kwa muda wa saa 1:40.91, alikuwa anatarajiwa kurudi tena uwanjani baada ya kuwa ameumia goti ambapo ilimzuia kabisa kuchuana katika mashindano ya ubingwa wa dunia huko Doha mwezi Septemba.
Rudisha alikosa kushiriki michezoni kati ya mwaka 2013 pamoja na mwaka 2014 ikiwa ni matokeo ya kuumia mguu wake. Tunamtakia heri apone haraka!
Sadick
Rudisha bonge la mwanariadha#meridianbettz
David pere
Jamaa anatisha sanaa Yani hatari
Frank Patrick
Kushikilia hiyo record mfululizo sio kitu kidogooo…tumuombee apone haraka
Genia Sikaluzwe
Jamaa yuko vizuri san
Ester jackson
Pole sana mungu akupe afya upya urudi kambini
Theckla
Tunamtakia heri apone haraka
Adelta
Pole yake tunaomba apone haraka
Ester mmakasa
Pole bingwa Rudisha ,mungu akusaidie upone urudi kutumikia taifa.
Adelta
Apone aje andelee kutumikia taifa
Salma
Pole sana atarud kama zamani
Kenani
Rudisha noma sana kweny liadha
Zeiyana
Pole sana..!bonge la mwanaliadha utarudi kama zamani
Rehema Dickson
mungu akupe afya urudi kambini
Lydia Emmanuel Magoti
Jamaha yupo vizuri huyo kwenye rihaza
Ernest
Pole sana kinaja, tunakutakia upone haraka
Juliana
Mwanariadha mahili
mwakalosi
so sad kwa rudisha
Mwanaidi
Pole sana wiki kumi na sita sio nyingi sana atarudi tuu
Aziza mushi
Yupo vizuri Sana mungu amjalie arudi dimbani
Antony Luseno
Pole sana kwake
Rehema
Pole sn kjana
Caroline
Pole yake
Magdalena
Pole Sana kwake atakaa sawa soon
dorophina
Mwanaliaza mzuri sana
Gabriel
Mwenyez amsaidie
Theonestina
Mungu amsaidie atapona
Warda
Jamani pole yake#Meridianbettz
Hope mwaikuka
Rudisha habari nyngne
aisha
Pole yake jamani
Elika
Rudisha yuko vizur sana
felister
get well soon
Amani
Rudisha bonge la mwanariadha#meridianbettz
Neema hassan
Mungu amponye#meridianbettz
Shafii
Duh mungu atamsaidia
Khadija
Pole sana mungu atakusaidia#meridianbettz
Evaluziga
Mungu atamponya na atarudi ulingon
Asha
Get well soon 🙏🙏
Povel
Rudisha yupo vzr kwny kukimbizah upepo kila la heri atapona kwa uwez wa mungu🙏🙏🙏🙏🏼
Emmy cleopa
Pole yake sana