Mchezaji wa Bournemouth ambaye hakutajwa jina ni mmoja ya wawili waliogundulika na Virusi vya Corona katika matokeo ya vipimo vya hivi karibuni na kufikia jumla ya wagonjwa nane waliogundulika katika Premier League.
The Cherries imesema kuwa utambulisho wa mchezaji umefichwa – watajitenga kwa siku saba.
Mchezaji mwingine wa klabu tofauti ambayo haijatajwa nae aligundulika na Virusi vya Corona.
Vipomo vilifanyika Jumanne, Alhamisi, Ijumaa ya wiki iliyopita na wachezaji 996 na watumishi wamepimwa katika Premier League.
“Kwa kufuata sheria za kurejea kwa Premier League mazoezini ili kuwa katika mazingira salama kwa wachezaji na wafanyakazi wengine, ambao bado wataendelea kupimwa Corona mara mbili kwa wiki,” taarifa Bournemouth ilisema.
Warda
Hii Corona ni balaa #Meridianbettz
Furahav
Pole sana.
mwakalosi
hii hatari aiseee
Lombo
dah corona ni nouma
Theckla
Corona inatisha
Hope mwaikuka
So sad
Povel
Ni habar mbaya kwa wapenz na mashabik Ila mungu atawasaidia thnks meridian bet kwa update
Emmy cleopa
DAaah! Corona hatari sana
David pere
Wajipange Sasa kuikabili
Ernest
Daah hii hatari sana
Rehema Dickson
Hili janga ni hatari
aisha
Pole sana kaka
Antony Luseno
Pole sana kwao maana janga la corona bado ipo
Khadija
jamani corona ni baraa#meridianbettz
Tahiya
Daah hii atarii sana
Mariam mtandama
Corona inatisha sana
frank patrick
Kitakwimu anauwezekano mkubwa sana wa kupona kuliko kupoteza Uhai ….inshaallah league itarudi soon
Hamidu
Safi.kwa habari za michezo#meridianttz
felister
mmmh inaogopeshaa
Salma
Dah pole sana
Gabriel
Habar ya kusikitisha sana
Ester mmakasa
Jamani hii corona siishe tuu.
Neema hassan
Daah..corona janga la taifa
Theonestina
Corona Sio poa kabisa
dorophina
Corona ishakuwa htr
Carolyne
Corona iishe tu
Magdalena
Corona ni ugonjwa hatari umeharibu Sana mipango ya watu
winfrida
corona inaboa sana
Zeiyana iddi
Daaah..!wachezaji wanaali ngumu sana..!wanajiona kama chambo vile
Asia Abdy
Dah jamn sio poa hil janga n balaa
Shafii
Corona Sasa utuache umetusulubu Sana Kama yesu msarabani
Lydia Emmanuel Magoti
Hii Atari aisee
Neema juma
corona ni shida
Issa
Ni tabu