Breaking : Tuchel Atimuliwa PSG.



Breaking News:

Kocha wa PSG, Thomas tuchel ametimuliwa na Paris Saint Germain mapema muda huu wameripoti Sky Germany.

PSG kwa sasa wanashika nafasi ya tatu katika Ligi ya Ufaransa (Ligue 1), alama moja nyuma ya viongozi Lyon, wakiwa wamepoteza mechi 4 kati ya 17 katika Ligi.

 

Habari za chinichini zinasema meneja wa zamani wa Tottenham, Mauricio Pochettino anatarajiwa kuchukua nafasi ya Tuchel pale PSG.


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???

SOMA ZAIDI

15 Komentara

    Man U sasa mjioange kutafuta Kocha maana Pochettino huenda akachukuliwa na PSG

    Jibu

    Duh kambi popote

    Jibu

    Dhuuu hii atalii

    Jibu

    Sio poa kabisaa ila kwa sisi wabongo kumbiga teke chura nikumwongezea hatua

    Jibu

    Dar majanga kweli

    Jibu

    Sio poa kabisa duh

    Jibu

    Mhhh makubwa

    Jibu

    Duuh hatari

    Jibu

    Duuh hatarii

    Jibu

    Duuu hatari sana

    Jibu

    Hana jipya

    Jibu

    Kumekucha

    Jibu

    Kambi popote

    Jibu

    Duuh ila makocha wanatabu

    Jibu

    Jamani mbona wamemtimua halaka hivi

    Jibu

Acha ujumbe