Brighton Kumchukua Mturuki wa Fenerbahce

Makala iliyopita
Osimhen Anaweza Kuikataa Chelsea Akiisubiria PSGMakala ijayo
Pulisic Anafanya Mazoezi Peke Yake Huko Milan
Klabu ya Fenerbahce imetaarifiwa na mchezaji Ferdi Kadioglu kua anataka kutimka klabuni hapo na kujiunga na klabu hiyo kutoka nchini Uingereza, Hivo klabu hiyo kutoka nchini Uturuki inasubiri dau kwa klabu ya Brighton ili kuweza kumaliza dili hilo kabla ya dirisha kufungwa.