Klabu ya Brighton Hove and Albion iko mbioni kukamilisha dili kiungo wa klabu ya Feyernoord Mats Weiffer raia wa kimataifa wa Uholanzi kwa ada ya uhamisho ya Euro €30 milioni.
Brighton wanahitahiji kuboresha kikosi chao kuelekea msimu ujao baada ya kutokua na msimu mzuri wa mwaka 2023/24, Jambo ambalo limewafanya kuingia kwa hasira sokoni kwajili ya kukamilisha sajili zao mapema na msimu ujao warudi kwenye ubora.Msimu uliopita klabu hiyo iliyokua chini ya kocha Roberto de Zerbi haikua na wakati mzuri sana kwenye ligi hiyo jambo ambalo lilifanya klabu hiyo kuachana na kocha huyo raia wa kimataifa wa Italia, Klabu hiyo lengo kubwa ni kurejesha makali yake msimu ujao.
Mats Weiffer amekua kwenye kiwango kizuri ndani ya klabu ya Feyernoord ya nchini Uholanzi kitu kilichowafanya mabosi wa klabu ya Brighton kuwinda saini yake na mpaka sasa wako kwenye hatua za mwisho katika kukamilisha dili hilo ambalo litagharimu ya €30miilioni.
This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Strictly Necessary Cookies
Strictly Necessary Cookie should be enabled at all times so that we can save your preferences for cookie settings.
If you disable this cookie, we will not be able to save your preferences. This means that every time you visit this website you will need to enable or disable cookies again.