Bruno Fernandes Kusaini Mkataba Mpya United

Makala iliyopita
Lukaku Anabaki Kipaumbele cha Napoli Licha ya Kusonga Mbele na NeresMakala ijayo
Bayern Munich Kumchukua Tah
Kiungo huyo wa kimataifa wa Ureno amekua kwenye kiwango bora kwa muda mrefu ndani ya Manchester United tangu ajiunge klabuni hapo mwaka 2020 mwezi Januari, Ambapo mwaka 2022 aliongeza mkataba wa miaka minne ambao utamueka klabuni hapo mpaka 2026 a sasa wanataka kuufanyia maboresho na kuongezwa mpaka 2027.