Santi Cazorla kwa muda mrefu alikuwa kama mmoja ya wachezaji talanta kubwa na ubunifu zaidi katika solka la Uhispania, na alishtua wengi wakati alipomua kuondoka Villarreal kujiunga na Xavi huko Qatar na Al-Sadd.
Akiongea katika mahojiano ya kipekee na Diario AS, Cazorla aliuzungumzia vyema ufundi wa Xavi kama mkufunzi na alifafanua kwamba anaamini rafiki yake yuko tayari kuichukua Barcelona sasa.
“Alipostaafu alifanya kozi hiyo, akaanza kuipenda na kisha akaamua, Amekuwa mfano kwangu katika suala hilo, ukweli alisubiri kuamua. Mara baada ya kustaafu nataka kuwa msimamo wa aina hiyo. Ana sifa kamili ya kuwa kocha. Unaweza kusema anaweza kuifundisha Barcelona kesho.”
“Nadhani amejiandaa. Anawajua wachezaji vizuri na anajua jinsi ya kufanya akiwa na wachezaji. Amekuwa akicheza hadi hivi karibuni na anajua jinsi ya kuvuna kitu bora zaidi kutoka kwao, ingawa haijalishi unachezaje ikiwa haushindi.” -Cazorla
Cazorla amesisitiza kuwa yeye anakubali sana misimamo ya Xavi, na anaamini anaenda kuwa kocha bora zaidi kwa mbinu alizonazo na uzoefu wake kama mchezaji.
Xavi kwa muda mrefu amekuwa akionekana kama mtu anayeweza kufanana na Pep Guardiola huko Barcelona, mtu anayeweza kuingia kwenye klabu na kuthibitisha uwepo wake.
Mmoja wa wanasoka waliopfanikiwa zaidi wa wakati wote, baadhi ya mataji yanayompa heshima Xavi ni pamoja na mataji nane ya La Liga, Manne ya ligi ya Mabingwa, European Championships na Kombe la Dunia.
Anayejaribu hawezi kutoka kapa Meridianbet! Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakuhakikishia ushindi mkubwa kila unapojaribu kuingia mchezoni. Washindi hushindana, ingia mchezoni!
Sania
Xavi anafaa sana
Rahmal
Asante meridian bet kwa makalara nzuli
Sarah
Yuko vizuri xava
Magdalena
Iko poa sana
Adelta
Ni Jambo jema
warda
Itakuwa poa sana
Shakila mrope
Iko njema san
Ernest Kimeru
Ngoja tuone
Dorophina
Ngoja tuone kama xavi ataweza kweli
Mwanahamisi
Ngoja tuone
Hopemwaikuka
Namkubalii
Sadick
Nadhani Xavi bado hajakomaa vya kutosha kufundisha Barcelona, anahitaji muda zaidi wa kujifunza na kukomaa.
Angelina
Nice update
Lydia Emmanuel Magoti
Itakuwa poa sana
Saupha mohamed
Itakua vizuri
Issa
Xav ndie sahh