Celtic wamethibitishwa kuwa mabingwa wa Scottish Premiership kwa mara ya tisa mfululizo na Hearts kushuka daraja baada ya msimu wa SPFL kumalizika mapema.
Maamuzi yalifanya na bodi Jumatatu baada ya vilabu 12 kukubali kumalizaka kwa Ligi mapema wiki iliyopita.
Pointi sawa kwa mchi ndio mfumo uliotumika kukamilisha msimamo wa mwisho wa Ligi.
Mabadiliko yaliyofanyika tangu ligi iliposimama Machi 13 ni St Johnstone kupanda nafasi ya sita juu ya Hibernian.
Celtic walikuwa alama 13 juu ya wapinzani wao Rangers – walikuwa na mchezo mmoja zaidi wakati msimu ukisimama.
Hearts walikuwa alama nne chini ya Hamilton Academical.
Mwenyekiti wa SPFL, Murdoch MacLennan amaipongeza Celtic na kuhuzunishwa na Hearts kushuka daraja na kusema ligi ilibaki bila chaguo lolote zaidi ya kumaliza.
Gabriel
Good news 👍@# meridianBetTZ
Emmy cleopa
Ahsante meridian kwa taarifa #meridianbettz
Lombo
habar njema
Povel
Hongeren wapenz na mashabik wa Celtic thanks meridian kwa update
felister
hongereni mashabiki wa celtic
Salma
Habari nzuri
Asia Abdy
Wanastahil pongezi mara tisa mfululuzo sio mchezo
Adelta
Meridianbettz Asante kwa taarifa
mathayo sonje
hongera zao celtic kwa kua mabingwa mara tisa mfululizo.#meridianbet
Antony Luseno
Congratulations Celtic FC kwa ubingwa
Kenani
Safi Sana celtic
Ester mmakasa
Celtic hawavumi lakini wamo hongera Celtic.
Carolyne
Hongera Celtic
Furahav
Vzr
Ernest
Hongera kwa Celtic ila ni kweli Ligi bila Hearts itapooza sanaaaa
Mwajuma
Hongera kwao cerltic
mwakalosi
Huko juu hakuna mpizani hearts kagoma kushuka daraja
Hamidu
Good news!
frank patrick
Hongera kwa RANGERS kuweza kushiriki tena Uefa europa league …YNWA SG8
Shafii
Hongera Sana kwa ubingwaa
aisha
Hongereni sana kwa ubingwa
Ester jackson
Hongera sana
nasra
Hongera sana