Antonio Rudiger alitemwa kwenye kikosi kilichofungwa dhidi ya Liverpool Jumapili. Kutokuwepo kwake kikosini hapo kumezua gumzo juu ya hatma ya nyota huyu pale Chelsea.
Antonio Rudiger ameshindwa kuwa kwenye fomu nzuri katika msimu wa kwanza wa Frank Lampard, amechaguliwa kwenye mechi moja tu ya ufunguzi dhidi ya Brighton & Hove Albion.
Licha ya kuingia uwanjani, nyota huyu mwenye miaka 27 alibadilishwa na Fikayo Tomori walipokuwa wanakutana na Mabingwa wa Ligi ya Primia, Liverpool.
Kwa mujibu wa Daily Mail, mpaka sasa kuna ishara kuwa Chelsea wanajiandaa kuagana na Rudiger kabla ya kuisha kwa dirisha la uhamisho.
Chelsea wanadaiwa kuwa wapo kwenye mpango wa kuboresha zaidi safu ya ulinzi, na kwa sajili ambazo wameshazifanya wanahitaji kuuza wachezaji kadhaa kukamilisha suala hili.
Japokuwa Tomori pia alikuwa anahusishwa na kuondoka Chelsea, lakini namna alivyotia bidii kwenye mechi dhidi ya Liverpool inaweza kubadilisha mtazamo wa Lampard. Hii inamaanisha Rudiger anakuwa kwenye hati hati zaidi ya kuondoka klabuni hapo.
Hata hivyo, Lampard amekanusha madai ya kuwa kuna mpango wa nyota huyu kuondoka klabuni hapo.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.
magdalena
uyu kiungo ana mchango mkubwa sana pale chelsea
Fatina mfigi
Duuuh
Gabriel
Antonio Rudiger hakuwa kwnye fomu ila ni Jambo ambalo linawatokea sana wachezaji sio la kumfanya lampard amtimue maana Antonio Rudiger bado n mchezaji mzur sana
Shani
Ni kiungo ambae lampard anamhusudu vilivyo
Sadick
Antonio Rudiger hakuwa na msimu mzuri hasa mechi za mwisho wa msimu hata hivyo nadhani anasitahili kubaki na kupata nafasi ya pili kama Kepa anavyopewa nafasi nyingine ya kucheza#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Daa kikosi kilipwaya Sana Antonio Rudiger ni mchango mkubwa Sana apo Chelsea kuwa majerui ndio kuchangia kupigwa kichapo kile
Ernest
Hakuna jipya hapa Rungu la kipepe linamsubiri
Zeiyana
Kwa uwezo alio honesha Rudiger sijui kama lampard hataweza kumuuza tena
Mwanahamisi
Duuh
Mwajumah
Kiungo uyo anamchango mkubwa sana chelsea#Meridianbettz
Elika
Ni kiungo mzuri sanaaa
Hopemwaikuka
Kaz kwao
jullie
yuko vizuri
Zahara omary
Safii
aisha
Antonio rudiger ni kiungo mzuri sana
Angelina
Kiungo bora
Tatu
Chelsea ktk sajili zao waangali wasije kuuza huyu kijana
Hidaya
Hakuna maajabu hapo
Janeflora malisa
🔥
Rehema
Hakuna kazi hapo
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Saupha mohamed
Uyoo ni kiungo muhimu mnoo
Khadija
Ni kiungo mzr sana
Amiri Kayera
Aongeze juhud Sana kupata nmba
Issa
Rudiger ni mhimil mzur sema lampard hamp nafasi
felister
hakuna jipya apo anauzwa tu uyo
Sabrina
Bado yuko vizuri
Nasra
Mmmh safiii
Dorophina
Antonio Ni mchezaji mzuri sana arsenal lkn inabidi akubaliane na hali harisi maisha popote pale
Caroline
Pole yake lkn atapata tu timu
Salma ngende
Mambo yamekuwa magumu kwa upande wake
Faraja molell
Mambo magumu
Venerose
Ni kiungo matata sana
Sauda
Ameinyanyua sana Chelsea
David Pere
fomu ila ni Jambo ambalo linawatokea sana wachezaji sio la kumfanya lampard amtimue maana Antonio Rudiger bado n mchezaji mzur sana
Chiku
Wasikubali kushindwa