Ben Chilwell amepanga kuiambia klabu yake ya Leicester City wiki hii kwamba anataka kujiunga na Chelsea.
Kocha wa The Blues, Frank Lampard anatamani kumuongezea Mchezaji huyo kwenye beki yake ya kushoto kwenye kikosi chake kuelekea msimu mpya wa EPL.
Chilwell, 23, amekuwa Leicester tangu akiwa na umri wa miaka 12 na yuko chini ya mkataba hadi 2024.
Lakini sasa anatarajiwa kufanya mazungumzo na Klabu yake ili aweze kujiunga na Chelsea ambayo imefanya Muingereza huyo kuwa chaguo la Kwanza.
Uamuzi wake sio tu kwamba Leicester imemaliza nafasi ya tano na kukosa nafasi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa nyuma ya Chelsea iliyo nafasi ya nne.
Kusudi lake ni kuhama na kwenda ambapo anajikuta akicheza kwa miaka mitano hadi sita ijayo katika kikosi cha kwanza.
Beki huyo alikosa mechi tano za mwisho za Leicester akiwa na jeraha la mguu na nafasi yake alichukua Nyota wa England U19, Luke Thomas kwenye michezo mitatu iliyopita.
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.
Ernest
Endapo deal la Ben Chilwell kwenda Chelsea litakamilika basi utakuwa mpango mzuri sana kwa Chilwell kung’aa zaidi kwenye ulimwengu wa soka kwani atakutana na wachezaji wengine mahiri na kukifanya kikosi cha Chelsea kuwa tishio zaidi.
aisha
Chilwell hongera kwa maamuzi yako kwani muda mwingine kubadilisha mazingira inasadia sana kila la kheri huko uendako chelsea
mwajumah
Acha aende tu akajiunge na timu yoyote tu anayoipenda yy ata kam sio chelsea kwan maamuzi ni yake yy#Meridianbettz
Rose kapinga
Chilwell angalia Kwanza maamuz yako,usikurupuke ukaenda kujuta mbele ya Safar!!!!
Mwanahamisi
Asante kwa taarifa
Antony Luseno
Blues wataje dau lake maana mchezaji mwenyew ashaonyesha nia
Magdalena
Kama Chelsea kaona panamfaa na dau likawa zuri aende tu
Dorophina
Ben Chelsea kunamfaa sana na anajua kucheza mpira kwa umahiri yote atawakilisha vyema
Adelta
Chilwel Yuko vizuri
#meridianbettz
felister
Chelsea waonyeshe dau lao mana mchezaji ameshaonyesha nia
Aziza mushi
Asanteni kwa taarifaa meridiani.
Fatina mfingi
Makala nzur
Furahav
Habari nzuri.
Caroline
Ni vizuri Sana . Chelsea ni timu nzuri
Samiah
Makala nzr
Lydia Emmanuel Magoti
Chilwell yupo vizuri kwakweli
Devotha
Hakika kocha wa Chelsea anaandaa kikosi Bora sana kwa msimu ujao
farida ahmadi
Chilwell kambi popote
Povel
Habar njema
Khadija
Ahsante kwa makala#meridianbettz
Neema juma
Taarifa nzuri sana
Mariam mtandama
Makala mazur
Flomena
Good news
Venerose
Habari njema
Gabriel
Habar njema
Amiri Kayera
Jambo zur
Salma ngende
Aende akapambane
Leonard
Chelsea club kubwa aje apambane
Theonestina
Taarifa nzuri Sana kwetu sisi mashabiki wa mpira
Janeflora malisa
Mambo mazur
Theckla
Kikubwa awe na maamuzi sahihi
Rehema
Hii ni habari njema
Frank Patrick
Atahama sawa lkn aina ya wachezaj wa hv wanaenda kushuka kiwango tu
Fatuma kasomo
Habari nzur kwetu mashabiki
Tatu
Habari njema
Issa
Chilwell ameipend chelsea iyo itampa unafuu lampard
Zeiyana
Yupo sahii sana chilwell hatoka arudi kwenye majeraha hameonekana hana nafasi tena pale Leicester bora haende Chelsea
Hope mwaikuka
Muamuz ni yy
Saupha mohamed
Makala mzuriiii
Genia Sikaluzwe
Makala imekaa poa
David Pere
Good news
Omary lukumbi
Kama lampard akimchukua na huyu ataifanya Chelsea kuwa na ukuta mgumu sana pale the blues
warda
Itakuwa poa sana