Christian Eriksen Atatua Borussia Dortmund?

Borussia Dortmund wanatajwa kuwa wanafikiria kujiandaa kumfukuzia Christian Eriksen mwezi Januari.

Mabingwa hawa wa Ujerumani walikuwa wanahusishwa na nyota huyu mwezi Oktoba, lakini dili halikuweza kukamilika. Taarifa zinasema dili hili linatazamiwa zaidi ni dili la mkopo.

Tuttomercatoweb wanaripoti kuwa Dortmund wanatarajia kurejea sokoni mwezi Januari.

Christian Eriksen Atatua Borussia Dortmund?
Atarejea tena Spurs?

Nyota huyu wa miaka 28 ameanza kwenye mechi tatu huku akicheza jumla ya mechi tano za Serie A msimu huu lakini bado hajafanikiwa kumshawishi mazima kocha Antonio Conte.

Kukosa mda wa kucheza klabuni hapo kumemfanya nyota huyu kuhusishwa na uwezekano wa kurejea Uingereza pia.

Hata hivyo, Dortmund wanataka kumshawishi nyota huyu wa zamani wa Spurs kuingia Bundesliga.

Unafikiri Christian Eriksen atafanya uchaguzi wa kurejea Uingereza au kwenda Bundesliga?


Usichelewe Kukamata Mkwanja Huu!

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

 

19 Komentara

    dortmund watakuwa wamejipatia kijana mzuri sana akitu apo

    Jibu

    Dortmund watakuwa wamelamba dume.

    Jibu

    Kila la heri iwe kweli

    Jibu

    Habari njema kwa dortmund

    Jibu

    Vizuri kila la kheri kwake

    Jibu

    Eriksen ni mchezaji mzuriiiiii

    Jibu

    Dortmund wamepata mchezaji mzuri kazi kwao kumtumia vizuri

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Ericksen kajaribu bahat hukp

    Jibu

    Good

    Jibu

    Imekaa poa

    Jibu

    Ericksen nenda kapige kazi

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Kila la kher

    Jibu

    Imekaa poa

    Jibu

    Kila kher kwake Ni jambo zur san

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    Kila la kheri iwe kweli

    Jibu

    Aje hata Man U kwani shida nini

    Jibu

Acha ujumbe