Cristiano Ronaldo tangu atue katika timu amekuwa na msaada mkubwa , hii ni kwa mujibu wa mchezaji mwenzake Giorgio Chiellini.
Ronaldo tayari amekwisha funga mabao 53 katiaka mechi 76 alizocheza akitokea katika klabu ya Real Madrid mwaka 2018 na kuwasaidia wababe hao wa Italia kushinda taji la Serie A msimu uliopita.
Nyota huyo wa kireno mwenye umri wa miaka 35 anaiongoza timu yake ya Juventus kukaa kileleni mwa ligi ya Serie A msimu huu, wakati huo huo wakiwa wamekwisha tinga hatua ya fainali ya kombe la Italia watakapoumana na Napoli jumatano hii jijini Roma
Mabingwa hao pia wamefika hatua ya 16 bora ya Ligi ya mabingwa Ulaya ambayo ilisimama kufuatia kuzuka kwa virusi vya Korona .
Amekuwa akitusukuma, na kutufanya tucheze kwa ushirikiano mkubwa ili tusonge mbele , Nahodha wa Juventus alimwambia Martina Colombari kwenye mtandao wake wa kijamii wa Instagram.Yupo katika hatua kubwa sana tunamchezesha tunamfanya awe bora
Mshindi huyo wa tuzo ya Mwanasoka bora wa dunia (Balon d’or ) mara tano , aliisadia timu yake kufuzu fainali za Coppa Italia mwishoni mwa wiki iliyopita ingawa alikosa penati lakini walifuzu kwa faida ya goli la ugenini .
Baada ya Fainali ya kombe la Italia Juve wataigeukia ligi ya Serie A ambapo kwa sasa wanaongoza kwa tofauti ya alama moja mbele ya Lazio,watakutana na Bologna wakiwa ugenini baada ya michezo kurudishwa na chama cha mpira nchini Italia.
Magdalena
Ronaldo ni mahili katika mpira lakini anajisikia sana
Shafii
Yuko sahihi kwa mchezaji kama Ronaldo kila timu alopitia alikua sehem kubwa ya mafanikio kwenye club
Povel
Cr7 yupo vzr uwepo wake uwanjan una goli tayar thnks meridian kwa update za michezo
Ernest
Mimi ni Timu Messi lakini cjawahi Beza kiwango cha Ronaldo na niwazi kuwa ameshafanya balaa lake ndani ya Juventus
Elika
Safi sana Ronaldo nakukubali sana
felister
Ronaldo baba lao
Furahav
CR7 mtu mbayaaaa.
Devotha
CR7 anauwezo wa ajabu ndo maana timu anayochezea lazima iwe na mafanikio
Lydia Emmanuel Magoti
Yupo sahii kwamtu Kama Ronaldo kuwabeba anajierewa huyo anajua msumbuaji huyo Keene heneo lake
lombo
yuko sahih
isha
Christiano ronaldo yuko vizuri
Amani
Cr7 mnyama
Hamidu
Cr7 mnyama.namkubali Sana
Salma
Jeshi ilo
Sylvester
Bila shaka Ronaldo Ni mchezaji anajiamini na muhamasishaji ndio maana anaonekana anawabeba Juventus na sio Juventus tu Bali kote alipopitia katika career yake ya Soka#meridianbettz
Sadick
Sio Sawa kusema anawabeba. Kwangu anatekeleza wajibu wake kwa timu yake #meridianbettz
Hope mwaikuka
Cr7 namba mbaya hyo
Gabriel
Hilo n jembe la juve
David Pere
CR7 noma kweli Ndio maana kila nchi aliyoenda amepata mafanikio sanaa
Rehema
Jeshiii
Agness
Christiano Ronaldo no mnyama mkali
Mwajuma
Kweli kabisa wapo sahihi
Neema juma
Kwa hakika Ronaldo yuko vzr mnoo
Tahiya
Ronaldo ni mchezaji mzur anajituma na kujua ni nini anatakiwa kufanya hakiwa uwanjani big up kwake
Mwanaidi
Ronaldo yupo vizuri sana
Kenani
Ronaldo ndo tegemez wa Tim Hilo halipngiki
warda
Daaa CR7 Ni moto mwingine#Meridianbettz
Dorophina
Ni kweli kabisa Ronaldo ndio aliyeibeba juve na hawawezi kumtoa kwenye timu anawaletea mafanikio makubwa sana
Evaluziga
Safi lonaldo nakukubali sana
Caroline
Ronaldo anacheza mpira jmn.kwenye sifa tumpe sifa yake
Zeiyana
Ronald ni mchezaji mkubwa hata clubu alizochezea alikua chachu ya mafanikio
Adelta
Safi Sana namkubali Sana Ronald
Ester jackson
Sio juventus peke yake hata kwa timu yoyote ile akiwepo lazima afanye mambo yake
Samiah
Cr7 nimtu mmbaya huyo
Asia Abdy
CR7 jeshii
Khadija
CR7 namkubali sana#meridianbettz
Emmy cleopa
Cr7 namkubali sana