Ciro Immobile amesaini mkataba mpya na Lazio wa miaka mitano.
Mkurugenzi wa mawasiliano wa klabu ya Lazio, bwana Stefano Dw Martino ametangaza kuwa Ciro Immobile amesaini mkataba mpya kuwepo klabuni hapo hadi 2025 .
Mshahara wa Ciro Immobile unatajwa kuwa ni kati ya Euro milioni 3.5 hadi 4 kwa mwaka, huku kukuwa na nyongeza mbali mbali kulingana na uwezo na kiwango atakachoonesha.
Kwingineko: Ronald Koeman na Maandalizi ya Msimu Mpya
RONALD Koeman, Kocha Mkuu wa Klabu ya Barcelona jana Agosti 31 alianza kuandaa kikosi chake kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2020/21 akitarajia kutokuwepo kwa nyota wao Lionel Messi.
Baada ya kutimuliwa kwa mkufunzi wa awali, Quique Setien, Koeman alichukua kibarua cha kuwanoa Barcelona waliokuwa wametoka kupokea kichapo cha aibu cha bao 8-2 dhidi ya Bayern Munich kwenye mechi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Picha ambazo zilizopigwa mazoezini zilionesha wachezaji waliofika mazoezini chini ya kocha huyu katika maandalizi ya kurejea dimbani kwa msimu mpya. Messi hakuwepo miungoni mwa wachezaji waliokuwa wakifanya mazoezi.
Kwa wachezajo waliokuwepo dimbani, winga Ousmane Demebele alionekana akipasha ndani ya vifaa vipya vya mazoezi vya timu hiyo. Gerard Pique alikuwa akichezea mpira huku Messi akikosekanika uwanjani wakati akiwa anahusishwa zaidi na uhamisho wa kutimba Manchester City.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.
Caroline
Wamepata jembe.Immobile yupo vizuri mno.hongera zao
Amiri Kayera
Kila la kher
Nasra
Kila la kheri
Dorophina
Kila lakheri immobile
felister
mmmh inaasharia nini Messi kutoonekana kwenye mazoezini…?
Sadick
LAZIO inatambua thamani ya mfungaji kinara wa msimu Ciro Immobile ndio maana imemuongezea mkataba awepo klabuni kwa muda mrefu zaidi. Kitendo cha Messi kutotokea mazoezini amepigwa faini ya Euro million 1.1 na ameambiwa endapo ataendelea kutoonekana faini itaongezeka. Sakata la Messi linaharibu mshikamano ndani ya klabu#meridianbettz
magdalena
yupo vizuri sana
Antony Luseno
Bora alivyosalia lazio
jullie
all the best
Sauda
Kila la kheri
Issa
Ciro atafute timu ingine ili apate mafinikio zaid
Furahav
Noma sana.
JULIANA
Inatisha
Khadija
Lazio jembe huwa namkubali
Fatuma kasomo
Kila la heri
Rose kapinga
Immobile fanya yako sasa,lazio wamekuelewa!!!
Hope mwaikuka
Cjaelewa hii habar
Rehema
Kila la kheri
Povel
Nice update
Agness
Duuh
aisha
Mimi naona ciro atafute sehemu ambayo itampa mafanikio zaidi
Saupha mohamed
Kila LA kheri
Shafii
Ingekua ngumu kwa Lazio kumuachia mfungaji bora wa italy.
Sabrina
Immobile mtu makini
Genia Sikaluzwe
Kila l khe
Gabriel
Ronald Koeman n kocha mzur sana
Mwanahamisi
Noma sana
Mwajumah
Kila la kheri
Neema
Nomaa sanaa
David Pere
LAZIO inatambua thamani ya mfungaji kinara wa msimu Ciro Immobile ndio maana imemuongezea mkataba awepo klabuni kwa muda mrefu zaidi. Kitendo cha Messi kutotokea mazoezini amepigwa faini ya Euro million 1.1 na ameambiwa endapo ataendelea kutoonekana faini itaongezeka. Sakata la Messi linaharibu mshikamano ndani ya klabu
Ernest
Mithani mkubwa upo kwa Koeman katika kuisuka Barceolona Mpya
Ester jackson
Koeman mpaka kuiweka Barcelona kwenyi njia nzuri itachukuwa mda sana
warda
Hongera kwake