City Waandaa £90m kwa Harry Kane.


 

Klabu ya Manchester City imeingia kwenye rada za kumsajili kapteni wa Tottenham Hotspurs, Harry Kane na wametenga kiasi cha £90 milioni ($123m) kwaajili ya usajili huo.

Mshambuliaji huyo wa England anaye tegemewa na Jose Morihno, anaangaliwa na meneja wa City, Pep Guardiola kama mrithi wa muda mrefu wa Sergio Kun Aguero.

 

Kane hajafanikiwa kushinda taji lolote katika maisha yake ya mpira, akiwa na medali ya mshindi wa pili katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya.

Kane amecheza mechi 15 akiwa na Spurs msimu huu akifunga magoli 9 na kutoa pasi za magoli 10 huku akiwa na kadi ya njano 1.

Manchester City wakikamilisha usajili huu itakuwa ni moja kati ya sajilili bora zilizo wahi kufanyika katika klabu hiyo kwa kipindi cha muda mrefu.

 


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?

SOMA ZAIDI

16 Komentara

    Kane amekaa sana Tottenham Hotspurs sidhani kama city wataweza mtoa

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridian bett

    Jibu

    Wakimpata watakuwa wamepata jembe

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Itakuwa vizuri kama wakipata sain yake

    Jibu

    Shavu hilo kwa Kane

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Yuko poa

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Anafaa kwa matumiz

    Jibu

    Kane yupo vizuri watakuwa wamepata jembe

    Jibu

    Wandae mkwanja mapema tuuu walichukue Jembe kane

    Jibu

    Kane kwenda city ni ndoto

    Jibu

    Kane yuko vzur sana

    Jibu

    Yupo vizuri

    Jibu

Acha ujumbe