Manchester City wamemkumbusha Phil Foden majukumu yake baada ya kuonekana amevunja sheria kwa kucheza mpira beach.
Kiungo huyo mwenye miaka 20 alipingwa picha akicheza mpira akiwa beach na watu wengi hivyo kuvunja sheria hiyo.
Sheria ya serikali kuhusu umbali wa mtu na mtu mwingine inasema watu wanaweza kucheza pamoja iwapo watakuwa na umbali wa mita na mpinzani wake.
Wachezaji wa Premier League kwasasa wameanza mazoezi ya kugusana kwenye vilabu vyao.
Japo, wametakiwa kuhakikisha wanaheshimu umbali wa mtu na mtu muda wote.
Amani
Taadhali lazima kabisa
Hidaya Mohammed
Sheria lazima izingatiwe
Samiah
Sheria lazima zizingatiwe
Emmy cleopa
Sheria lazima.
dorophina
Inabidi wajikinge kufuata masharti Ni vizuri walivyompa adhabu
mwakalosi
hii issue iko very serious sana
Hidaya Mohammed
Sheria lazima ifatwe
Hamidu
Dogo kazingua!
Povel
Sheria lazima ifuate mkondo wake thnks meridian kwa update za michezo
David pere
Kwanini wanamuonya kafanya nini
Mwajuma
Wamefanya vyema sana ili liwefundisho kwa wengine
Genia Sikaluzwe
Sheria lazima iwepo
Magdalena
Akivunja Sheria anastahili kupewa onyo ili asijisahau Sana na owe funzo kwa wengine
Gabriel
Dogo anadharau sana Sheria lzma ifuatwe
Caroline
Ni ngumu kweli
Aziza mushi
Duh kazingua kweli apo Sheria lazma ihusike
aisha
Kama vipi msameheni tuu phil foden
Rehema Dickson
Vizuri vigezo na mashart kuzingatiwa na asipo fata Sheria adhabu ihusike kwa yoyote ane kikuka mashart
Tahiya
Phil usichukulie poaw corona
Ester jackson
Apewe adhabu mana amevunja sheria na ikiwa yeye anatakiwa afanye kitu cha mana ili wengine waige kupitia yeye
Neema juma
Kashajua kosa lake hatorudia tena
Khadija
Tahadhari lazima#meridianbettz
Agnes
Wamefanya Jambo la msingi maana alivunja shelia
Theckla
Awajibishwe ili iwe fundisho kwa watu wengine
Mariam mtandama
Hatari
Rehema
Wako sahihi maana wamefunja sheria
Salma
Sheria ifatwe ili iwe fundisho kwa wengine
Ernest
Nadahani ata yeye atakuwa alichukua taadhari kabla ya kujumuika kwako sio rahisi kwa kipindi hiki wakajumuika hivi bila kuchukua taadhari
Asha
Gud news
Lombo
dah kwel sheria zifuatwe
Evaluziga
Dogo anadharau Sana Sheria ifate mkondo wake
Hope mwaikuka
Axante kwa hilo
felister
Sheria ifuate mkondo wake Kama kavunja Sheria apewe onyo
Asia Abdy
Duh sheria ifuatwe
Ester mmakasa
City wako makini sana mpaka raha ,na sisi Tanzania tunatakiwa kuiga wachezaji wetu wafwatiliwe kila waendako kama wako nje ya sheria na kanuni waambiwe.
Hamidu
Dogo anajua Sana.
Lydia Emmanuel Magoti
Taadhari lazima kabisa
Issa
Foden anastail kwakuwa anajua kwa kipindi hiki ni kosa
Devotha
Amejua kosa lake hatorudia