Mark Clattenburg moja ya mwamuzi wa kiwango cha juu barani Ulaya. Alikuwa refa ambaye alipewa jukumu la kuchezesha fainali ya Ligi ya Mabingwa kati ya Real Madrid na Atletico Madrid huko Milan. Sasa, miaka minne baada ya mchezo, amekili kwamba bao la Real Madrid lilikuwa la kuotea “Offside”
Refa wa usiku huo, Mark Clattenburg, amekiri kosa lake akiongea na jarida la Daily Mail. katika maongezi hayo Mark Clattenburg alisema
“Katika mchezo huo wa fainali Real Madrid ilikwenda Mapumziko ikiongoza kwa goli 1-0 katika kipindi cha kwanza lakini bao lilikuwa lakuotea kidogo na tuligundua wakati wa mapumziko. Ilikuwa ni offside ngumu kuona na msaidizi wangu alikosea,” Clattenburg
Lakini pia amesema kuwa kwa sababu ya kosa hilo, aliweza kuwatuliza Atletico Madrid kwani aliwapa penati katika kipindi cha pili. Pepe alimwangusha Torres, lakini Griezmann akakosa kwa kugogesha mwamba. kitu ambacho hakikua sahihi kufanywa na muamuzi wa kiwango chake.
Mjadala umezuka kwa wadau wa soka wanahoji je ni sahihi mwamuzi kusahihisha makosa kwa kufanya kosa jingine??
lombo
asante meridianbet kwa update
Christopher
Alikuwa amekosea kwa offside ila kusema kwamb aliwapA penalty atletico hii haijakaa vizur
Povel
Thnks meridian kwa habar za kimichezo
Tatu
Asante kwa taarifa nzuri
gabriel
good newz# meridianbettz
Theckla
Asante kwa kunijuza
felister
asanteni meridian kwa taarifa
hamidu
safi kw habari tamu za michezo. huyo refa namkubali sana # meridianabettz
Ernest
Hii ni sahihi kabisa kwenye michezo haswa mpira wa miguu kwani kunawakati Muamuzi anatakiwa kurekebisha makosa yake ili kubalance mchezo haswa pale anashindwa kufanya uamuzi sahihi kwa timu husika.
frank patrick
Kimtazamo hivyo ndio vitu vinachangamsha mpira kuufanya uwe midomoni mwa watu hizi VAR zinatuaribia radha za mpira tu
Furahav
We refa unayumba.
felister
asanteni meridian kwa taarifa
winfrida
refa yuko vzr
Genia Sikaluzwe
Ahsant sana meridianbet kwa taarifa
aisha
Ahsanteni kwa kutufahamisha mengi amabayo tulikua hatuyafaham