Inter Milan wanafikiria kumnunua kiungo wa kati, Mfaransa N’Golo Kante huku Blues wakiwa tayari kusikiliza ofa kwa ajili ya kumuuza mchezaji huyo wa Ufaransa.
Bosi wa Inter, Antonio Conte amekuwa akivutiwa na nyota huyo tangu alipokuwa Stamford Bridge na wawili hao waliweza kutwaa taji la Premier League wakiwa pamoja Chelsea.
Kante mwenye umri wa miaka 29 amekuwa akisumbuliwa na majeraha huku mkataba wake ndani ya Chelsea ukitarajiwa kumalizika mwaka 2023. (Gazzetta dello Sport, via Metro)
Kante kwasasa ni majeruhi akiugulia nyama za paja ambapo amekosa michezo kadhaa tangu alipoumia kwenye mechi ya Ligi Kuu dhidi ya West Ham, atakuwa nje hadi mwisho wa msimu 2019/20
Furahav
Hii habari nzuri kwa kante
Hope mwaikuka
Kante ni mchezaj mzur sana anafaa kwa matumiz
Povel tz
Kante ni mmoja ya viungo Bora hv sasa kila timu inataman kuwa na kiungo Kama yeye,
Revina
Lazima amuwaze ni kijana mbunifu na anejituma katika soka
Franky
Bola nGolo usepe tu Chelsea limesha kua dampo la hospital….
sabrina
wamchukue tu Kante yupo vizuri
Hamidu
Kante ! Kiungo mkata umeme .Kama Conte atamsajili atakuwa amefanya usajili mzuri Sana#meridianbettz
Amiri Kayera
Inter kila mchezaj inamtak
Issa
Inter kumng’oa kante ni ngumu sababu lampard ni kiungo ambae anamtegemea sana
Edgar
Uyo Safi tu mchukue kama vipi
niwa
Kante ni kiungo mzuri sana amchukue atamsaidia
devotha
habari njema
Njiku
Konte fundi sana ila chelsea haioni muhimu wake acha asepe2 kwa watu wanaojua umuhimu wake
Ernest
Conte anaelewa Sana kazi ya Kante
Latifa juma mohamed
Kante kiungo Bora anjitambua na anajua wajibu wake awapo uwanjan mwachen Conte amuawaze, maan na ufup wake full mbio
Omary lukumbi
Habar njema kwa ngo’olo kante
David Pere
Apeleke pesa ili aiziwe mchezaji maana nayo kilabu take haina mpango naye so atapa nafasi nzuri ya kumpata
Mwajuma msangi
Akifanikiwa kumpata kante atakuwa amefanya usajili mzuri
Tahiya
Ni vyema Kante kuondok
Dorophina
Kante yupo makini sana ni vizuri waki msajili
isha
Kante yuko vizuri na ndio maana anakubalika
Magdalena
Kante anastahili kusajiliwa anajua soka
Ester jackson
Kante ni mchezaji mwenye uwezo ingawa majeruhi madogo madogo anayapata kutokana na kazi Chelsea hawawezi kumuacha ngolo aondoke mana bado abaumuhimu kwenye klabu hiyo labda yeye afanye maamuzi yake ndipo atakapo ondoka
Zeiyana
Sizani kama Intel wataipata sain ya ngolo kante bado Chelsea wanamuitaji sana na ukiangalia zaidi bado mkataba wake hudai hadi 2023 labda tuangalie tu yeye mwenyew maamuzi yake
felister
kante ni kiungo mzuri sana kila klabu inatamani kua na kiungo Kama kante
Genia Sikaluzwe
Kante ni mchezaji mzuri Sana wa mpira
caroline
wasubiri kwanza apone ndo watafikiria kuhusu usajili wake
Tatu
Inter wafanye juhudi kumchua kante kwani ni mchezaji mnzuri na anayejima
Lydia Emmanuel Magoti
Safii niabari nzuri
Angelina
Itakuwa vema kama kante akiondoka chelsea
Zuhura omary kindamba
Kante yuko vizuri ndio mana wanamkubali sana
Neema juma
Conta lazima amuwaze kwa kweli
Evaluziga
Cante Ni jembe
Flomena
Ni Jambo zuri kante kuondoka
Salma
Kama ataondoka ni jambo zuri
Fatuma kasomo
Sio jambo baya
Gabriel
Kitendo cha Antonio Conte kumtaka kiungo huyo n habar njema sana kwa club ya inter milan kwan Alifanya mwanzo wake mkuu huko Boulogne na kisha alitumia misimu miwili huko Caen, mwisho wa Ligue 1.
Mwaka 2015, alijiunga na Leicester City kwa ada ya £ milioni 5.6 akawa mwanachama muhimu wa klabu ya kwanza ya Ligi Kuu yake msimu tu katika klabu.
Mwaka uliofuata, alijiunga na Chelsea kwa ada ya ripoti ya £ 32,000,000, kushinda ligi tena katika msimu wake wa kwanza. Pia alishinda tuzo ya Mchezaji wa Mwaka wa PFA na ya Mchezaji wa FWA wa Mwaka akawa mchezaji wa kwanza kushinda vichwa vya nyuma vya ligi ya Kiingereza na vilabu tofauti tangu Eric Cantona mwaka 1992 na 1993.
Kanté alifanya mechi yake ya kwanza ya kimataifa kwa Ufaransa mwaka 2016. Alikuwa amejumuishwa katika kikosi chao kilichomaliza kukimbia katika michuano ya mwaka huo wa Ulaya.
16 Julai 2016 akauzwa kwanda Chelsea kwa £ milioni 3.2 akasaini mkataba wa miaka Kante alisema anapenda sana kuchezea timu kubwa sana na kuvaa jezi namba (7) ndani ya 23 Oktoba alifunga goli lake la kwanza.
Kwa upande wangu namkubal sana kante na ndiye miongon mwa wachezaji ambao nawakubal nataman ata yanga tungemsajili
Rehema
Hii habari njema
Saupha mohamed
Wachuke ni wote
Asia Abdy
Good news
Samiah
Nihabari nzr
Adelta
Kanye Ni kijana mzuri
Anajituma katika soka
farida ahmadi
Habari nzuri Sana
Saupha mohamed
Habari nzuri