Croatia Mambo Magumu Euro 2024
Makala iliyopita
BREAKING NEWS: Simba Yamuacha Luis Miquissone.
Makala ijayo
SIMBA KUTUMIA UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID ARUSHA
Croatia mshindi wa tatu kombe la dunia mwaka 2022 wameonekana kua na wakati mgumu sana kwenye michuano hii licha ya kua na wachezaji wake bora wote, Huku sasa wakibaki kuomba dua kwenye mchezo wa kesho angalau uishi kwa sare au mmoja apoteze ili wao waendelee kua na nafasi katika mchezo wa mwisho ambao wao pia watatakiwa kushinda dhidi ya Italy.