Crystal Palace Kumchukua Smith Rowe

Makala iliyopita
Chelsea Wanamvizia LuninMakala ijayo
Leny Yoro Mazoezini Carrington leo
Crystal Palace chini ya kocha Oliver Glasner inamuhitaji kwelikweli mchezaji huyo huku kocha huyo akielezwa ndio amemuhitaji kiungo huyo wa kimataifa wa Uingereza, Palace wametuma ofa kwa klabu ya Arsenal juu ya kiungo huyo wakisubiri kuona ni watapata majibu gani kutoka kwa Washika mitutu wa London.