Kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Ubelgiji, Kevin De Bruyne anaamini kwamba Uingereza wana kila sababu ya kuwa mabingwa wa fainali zijazo za Euro na Kombe la Dunia.
De Bruyne ambaye alikua Kiungo Bora wa Mwaka wa Shirikisho la Soka la Barani Ulaya (Uefa) na Mchezaji Bora wa Mwaka 2019-20 katika klabu ya Man-City, atakuwa sehemu ya michuano hiyo.
“Lazima wanafurahi sana. Uingereza wana kikosi cha wanasoka wachanga walio na uwezo mkubwa uwanjani,”
“Zipo timu nyingi zinazotamani kutwaa mataji ya michuano hiyo, lakini nahisi kwamba Uingereza ndio wana idadi kubwa ya wachezaji walio na uwezo wa kufanya vizuri na kuweka hai matumaini yao ya kutawala mashindano hayo. Na ni lazima watafanya hivyo,” alisema De Bruyne.
Uingereza kwa sasa wanashikilia nafasi ya nne kwenye orodha ya viwango bora vya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).
Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua.
Rose kapinga
Juhudi zao ndio mafanikio yao!!!
Tatu
Uingereza kweli wanaweza kuchukua ubingwa sababu wana wachezaji wazuri walio na uwezo
magdalena
wakiwa na juhudi za kutosha watatwaa tu
Mwajumah
Uingereza wanaweza kuchukua ubigwa wakiongeza juhudi zao tu
Fatina mfigi
Juhudi ndo mafaniko yenu
Angelina
Safi
Dorophina
Uingereza wakijitahidi taji watabeba
Amiri Kayera
Wajiandae kwer
Lydia Emmanuel Magoti
Mambo yasiwe mengi wafanye husajiri
Adelta
Uingereza wajitahidi wachukuwe taji
Elika
Sababu ipo na nia wanayo watatwaa tu taji
Hidaya
Kikubwa nia
Zeiyana
Wapambane hinaweza bahati hikawa kwao
Ernest
Kwa Uingereza hapana sababu wanakosa umakini
Saupha mohamed
Wapambane wachukue taji
Povel
Mawazo yake tu natumain Kama watajituma wanawez kubeb TAJ la UERO
Rehema
Wawe na nia tu
Sadick
Hakika Uingereza ina nafasi kubwa kushinda EURO na hata kombe la dunia kutokana kukusanya vipaji vingi ndani ya kikosi
Sabrina
Uingereza wanatakiwa wapambane ili kulipata taji hilo
Shani
Kila kitu ni nia na jitihada inawezekana
Issa
Game makini
aisha
Walipambana sana ni haki yao
Flomena
Nice
Fatuma kasomo
Gud news
Sauda
Wakiongeza juhudi watashinda
Venerose
Wanatakiwa wawe na kikosi imara
Caroline
Kila kitu kinawezekana
Gabriel
wajitahidi wachukuwe taji
Janeflora malisa
Umakin unahitajik
Hopemwaikuka
Inawezekana tu