Deeney Agomea Mazoezi Watford

Nahodha wa Watford, Troy Deeney amesema hatarejea mazoezini kwasababu anaohofia afya ya familia yake kipindi hiki cha Corona.

Vilabu vya Premier League vimeanza mazoezi Jumanne ya bila kugusana.

Deeney hataki kumuweka mtoto wake mwenye matatizo ya kupumua kwenye hatari zaidi.

“Tunatakiwa kureja wiki hii, Nimesema siwezi kwenda,” Deeney, 31, alisema.

Watford hawataanza mazoezi Jumanne na inaeleweka klabu haina tatizo na maelezo ya Deeney.

Deeney ameongeza: “Ni mtu mmoja tu akiambukizwa kwenye kundi wote mnaweza kupata, sitaku kupeleka nyumbani..

“Mwanangu ana miezi mitano tu, ana matatizo ya kupumua, hivyo sitaki kurudi nyumbani kumuweka kwenye hatari.”

Last Wednesday, Deeney alikuwa kwenye kikao cha Premier League, na manahodha wa timu nyingine na wataalamu wa afya.

Alisema: “Taizo langu lilikuwa kwenye kikao niliuliza maswali mepesi.

“Kwa watu weusi, Asia na watu waliochanganya mataifa, wana hatari mara nne zaidi kupata maambukizi – je kuna kitu kingine cha ziada, kama mifimu ya kuona changamoto za moyo na mapafu kuona kama watu wanamatatizo hayo? Hapana. Sawa nadhani tufikiria na hilo pia.

“Siwezi kunyoa hadi kati ya Julai lakini naweza kuingia kwenye boksi na watu 19 kuruka kichwa na hakuna wakujibu swali, sio kwamba hawakutaka, lakini hakuwa na taarifa.

“Kwa hiyo nikasema kama hamna taarifa, kwanini nijiweke hatarini?”

38 Komentara

    Vizuri kwake na familia yake maana ameonyesha msimamo

    Jibu

    Ni habar mbaya sana kwa wapenz wa Watford kwa mchezaj wao kugoma kwenda kuanza mazoez na wenzak thanks meridian kwa update

    Jibu

    Huyu hayuko tayari kurudi uwanjani kwa sasa

    Jibu

    Izo ni habari mbya kwa timu

    Jibu

    Hayupo tayari kuludi uwanjani kwa sasa

    Jibu

    Anajiamini hata bila mazoezi anaweza kukipiga

    Jibu

    Sio habari nzuri kwa wapenzi wa mpira

    Jibu

    Ni vizuri kwake kaonesha msimamo wake na wao watajua wafanye nn ili kumuweka sawa

    Jibu

    Ahsante meridian kea taarifa

    Jibu

    Ni vizuri kwake mana anaonyesha anawajali sana familia yake hivyo wanatakiwa kuangalia jambo la msingi la kiafya kabla hajakutana na familia yake akiwa anatoka mazoezini

    Jibu

    Ana sababu kwa hiyo kilabu yake yapasa iheshimu maamuzi yake

    Jibu

    Deeney uwo ni uwoga..!kwani hao wachezaji wenzako awana family ugonjwa upo huu inatakiwa tukubaliane na ali

    Jibu

    Mtata huyo

    Jibu

    troy upo sawa ni bora kujikinga na kuwakinga ndugu zako kwan corona bado ipo

    Jibu

    Hizo ni habari mbaya kwa mashabiki wa mpira

    Jibu

    Duuh hizo sio habari nzuri kwa wachezaji wenzake maana umoja ni guvu

    Jibu

    Ila kwa ajili ya usalama wake nafamilia yake. Hali ikikaa sawa atarudi tu.

    Jibu

    Nijambo jema kujali familiya kwanza

    Jibu

    Achukuwe tahadhali tu

    Jibu

    Hizo ni habari mbaya kwa wachezaji

    Jibu

    Jambo Zuri kujali familia yake.mengine baadaye .asnte meridianbettz kwa habari nzuri za michezo

    Jibu

    huyo ayuko tayali na ndio maana akawagomea#meridianbettz

    Jibu

    Ni taarifa mbaya kwa team lakini ni maamuzi sahihi kwa mchezaji kulingana na sababu zake husika

    Jibu

    Mazoezi ni muhimu kwa afya ni vyema akarejea mazoezini #meridianbet

    Jibu

    Kinga ni bora kuliko tiba

    Jibu

    Huyu ataki kazi

    Jibu

    Jaman pole yake,but asihofie sana

    Jibu

    Kama Professional player hii sio picha nzuri kwani angeweza kujitenga na familia yake kwa kipindi hiki kifupi kwa ajili ya kumalizia ligi alafu mambo mengine yangefuata baadae.

    Jibu

    Anaonyesha kuwavunja moyo wenzake walio tayari kurudi uwanjani

    Jibu

    Acha uvivu fanya mazoezi.

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Mtovu wa nidhamu

    Jibu

    Hayo ni maamuzi yake yaheshimiwe

    Jibu

    Vizuru kwake na kwafamilia yake kuonesha msimamo

    Jibu

    Hana nidhamu huyo

    Jibu

    Asante meridianbet kwa habary mzur

    Jibu

    Kama mchezaji mahiri hajafanya fair

    Jibu

    Habar mbaya sna hii

    Jibu

Acha ujumbe