Dejan Kulusevski amesisitiza kuwa Cristiano Ronaldo hawezi kuzuiwa wakati wachezaji wenzake wa Juventus wanajiandaa kuungana tena kwenye mechi ya Ligi ya Mataifa kati ya Sweden na Ureno.
Ronaldo na Ureno watakuwa wenyeji wa Sweden ya Kulusevski kule Lisbon kwa Jumatano ya Ligi A, Kundi la 3.
Ronaldo aliyeshinda tuzo ya Ballon d’Or mara tano alifunga mara mbili wakati Ureno ilipopata ushindi dhidi ya Sweden wa 2-0 katika mechi ya iliyopita mwezi Septemba.
Nyota wa Uswidi, Kulusevski – ambaye anacheza pamoja na Ronaldo kwa mabingwa wa Serie A Juventus – anapangwa katika mechi hii ngumu dhidi ya nahodha wa Ureno na mfungaji bora wa muda wote.
“Hakuna mtu anayeweza kumzuia. Akiamka vizuri, anaamua kila kitu peke yake. Hatukufanikiwa kumzuia mechi iliyopita, lakini tunapata nafasi nyingine Jumatano. Sijui jinsi ya kumzuia, lazima uwe mkali ili kumfanya akasirike. Nina uzoefu wa kucheza inavyokuwa ukicheza dhidi ya mabeki wakali na mwishowe unakata tamaa.
Sweden wanashika mkia kwenye kundi kufuatia vipigo vitatu mfululizo, baada ya kufungwa 2-1 na Croatia mara ya mwisho. Hii ni mechi ngumu kwao.
Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua.Â
Elika
Safi sana lonardo
Zeiyana
Ronaldo bado yupo fiti kwenye gemu
magdalena
ronaldo ni namba nyingine iyo haina wa kuishika ikiwa katika mbio zake
Dorophina
Ronaldo atazeeka na utamu wake kila siku kipaji kinaendelea kukua zaid
Angelina
Cr7 mtu mbayaa
Venerose
Ronaldo bado anaweza game
Neema
Kwa kweliii Ronaldo hakamatiki
Tatu
Ronaldo hana mpizani
Sauda
Ronaldo fundi
aisha
Ronaldo mtu mbaya
Nasra
Ronaldo safii
Shani
Cr 7 ni noma sana
jullie
jamaa yuko vizur sana
Genia Sikaluzwe
Jamaa fundi wa mpira huyo
Ernest
CR7 Yupo vizuri sana
Issa
Game ya kufa mtu
Mwanahamisi
Cr7 noma
Amiri Kayera
Mchezaj bola
Caroline
Ronaldo kichwaaaa
Mwajumah
Safi sana Ronaldo
Janeflora malisa
Good
Saupha mohamed
Safii
Gabriel
Ronaldo bado yupo fiti
Sabrina
CR7 Bado anadai, anajiweza
Povel
Cr7 ni best player in world💪💪💪
Hopemwaikuka
😘