Deschamps Bado Yupo sana Ufaransa
Makala iliyopita
Sancho Kuhusika Dili la Chiesa
Makala ijayo
Coutinho Arejea kwao Brazil
Rais wa shirikisho la soka nchini Ufaransa amethibitisha kua kocha huyo ataendelea kuwepo kwenye timu hiyo kwakua yupo ndani ya malengo ambayo walimuwekea, Hivo kwakua yupo ndani ya malengo basi ataendelea kuendelea kukinoa kikosi hicho mpaka mwisho wa mkataba wake ambao ni mwaka 2026.