Meneja wa zamani wa Manchester United na Scotland, Tommy Docherty amefariki akiwa na miaka 92 kutokana na Maradhi ya muda mrefu.
Docherty amevifundisha vilabu vingi ikiwemo Manchester United, Chelsea, Aston Villa na Derby, pia timu ya taifa ya Scotland. Mchezaji huyo wa Preston aliisaidia United kushinda FA Cup dhidi ya Liverpool mwaka 1977.
Docherty aliyejulikana kama ‘The Doc’ alidumu katika nafasi ya ukocha kwa miaka 27 huku akifundisha vilabu 12 katika muda huo ikiwemo Chelsea, Manchester United, Aston Villa na Derby.
Tommy amefariki nyumbani kwake North-West jana December 31, 2020.
“Tommy amepumzika kwa amani, akiwa amezungukwa na familia yake nyumbani.
“Alikuwa mume bora, baba na baba atakumbukwa sana. Tunaomba faragha iheshimike katika kipindi hichi. Hakutakuwa na maoni zaidi.” alisema msemaji wa familia
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?
warda
R.I.P docherty
Sarah
R.I.P docherty
Janeflora malisa
RIP
Magdalena
Duh pumzika kwa amani
Shakila mrope
R.l.p
Adelta
Apumzike kwa amani atakumbukwa Sana
Angelina
R.i.p
Sania
Apumzike kwa amani
Rahmal
R.l.p
felister
mbele yake nyuma yetu
Hopemwaikuka
Rest well
Dorophina
Rest well
Lydia Emmanuel Magoti
Mungu ampumzishe mahara pema pepon
Issa
Rip legend
Gabriel
R.I.P
Saupha mohamed
Rip