Nyota wa zamani wa Chelsea na Timu ya taifa ya Ivory Cost, Didier Drogba amempongeza mchezaji wa Instanbul Basaksehir, Demba Ba baada ya tukio la ubaguzi wa rangi katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa.
Mchezo wa Ligi ya Mabingwa kati ya Paris Saint Germain dhidi ya Istanbul Basaksehir ulisimamishwa dakika ya 14 baada ya kamishna wa mechi Sebastian Coletescu kutoa lugha ya kibaguzi dhidi ya kocha msaidizi wa Istanbul Basaksehir, Pierre Webo.
Demba Ba aliingilia kati ya kumashihisha kamisha huyo huku akitoa maneno ya kusawazisha sakata hilo. Baada ya tukio hilo Drogba alimpongeza mchezaji huyo kwa kupinga ubaguzi wa rangi na kutetea usawa.
Aliyekuwa raisi wa CAF Ahmad Ahmad amesema Demba BA ni mfano wa kuigwa na anaweza kusimamia thamani ya rangi nyeusi.
MALIZA MWAKA KIBINGWA KWA KUJISHINDIA SHEA YAKO KWENYE SHILINGI 140,000,000TSH!!
Kipindi hiki cha sikukuu kinamalizika kwa namna ya kipekee. Shilingi 140,000,000 kushindaniwa katika michezo ya Evolution kwenye Kasino Mubashara ya Meridanbet. Ingia mchezoni na ujiwekee nafasi ya kushinda shea yako!!!
Adelta
Demba BA amefanya vizuri
Hopemwaikuka
Aendelee na moyo huo huo
Dorophina
Drogba amefanya vizuri kumpa pongezi demba ba kwa alichokifanya
Tahiya
Good
Sarah
Vizuri
Caroline
Safi sanaaa
Ernest
Ni mapambano magumu sana juu ya ubaguzi wa Rangi
Mwanahamisi
Safi sana
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri sana
Fatina mfingi
Nice
Saupha mohamed
Good
Rahma
Saf
Issa
Demba ba moto
felister
aendelee na moyo huo huo
lombo
saaf
Sadick
Si rahisi kumaliza tatizo la ubaguzi duniani kila siku huja aina fulani ya ubaguzi duniani
warda
Drogba hanaga mambo ya kufinya
Tatu
Safi
Magdalena
Safi sana
Janeflora malisa
Safi
Latifa juma mohamed
Gud news
samiah
Safi
aisha
Nice