Drogba Ashangazwa na Mwanae.


 

Mshabuliaji wa zamani wa Chelsea, Didie Drogba amewahi kupigwa na mshangao kutoka kwa kijana wake Isaac baada ya kumuuliza swali la mchezaji gani amekuwa akimpenda.

Drogba anadai wakati anacheza mpira aliwahi kumuuliza kijana wake ni mchezaji gani ambaye anampenda? Isaac alimjibu Jesse Lingard wa Manchester United.

 

Drogba anasema alishangaa sana mwanae kumtaja Lingard, nilijua atanitaja mimi nikawaza dunia yenye Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Eden Hazard alimtaja vipi Lingard?

Kuna wakati pia niliwahi kumuuliza ni mchezaji kwako bora EPL akanijibu Thierry Henry, alipomtaja ni sawa kwakua Henry ni moja wa wachezaji bora.


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???

SOMA ZAIDI

15 Komentara

    Isaack anajua nan anajua ndo maana

    Jibu

    Isaack Yuko vizuri

    Jibu

    Dogo yupo vizuri

    Jibu

    Dogo yuko nakujionyesha

    Jibu

    Dogo yupo vyema

    Jibu

    Safi yupo vizuri

    Jibu

    Mtoto wa nyoka ni nyoka

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Ni moyo wake tu umempelekea

    Jibu

    Dogo yupo vizur

    Jibu

    Jamaa anajja

    Jibu

    Mfalme darajan

    Jibu

    Kila mtu na mapenzi yake

    Jibu

    Dogo Yuko poa

    Jibu

    Dogo hana shoo mbovu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.