Edin Dzeko: Ninafurahi yote Yamekwisha

Edin Dzeko amefanyiwa vipimo leo ​​baada ya kupona kutoka kwa COVID, na kusema kuwa “Niko sawa na nimefurahi yamekwisha.”

Edin Dzeko alipatikana na maambukizi ya ugonjwa wa COVID wiki mbili zilizopita baada ya kufanyiwa vipimo.

Kulingana na taratibu za Serie A, ilibidi afanyiwe uchunguzi wa kitabibu kabla ya kuanza tena mafunzo na wachezaji wenzake wote kwenye timu.

Baada ya vipimo kufanyikia pale Villa Stuart ya Roma alisema: “Ninajisikia vizuri na nimefurahi kuwa yote yamekwisha,”

Mshambuliaji huyo wa zamani wa Manchester City anaweza kuanza kucheza wikendi ijayo dhidi ya Napoli na huenda akajumuishwapia kwenye kikosi cha Roma kitakachomenyana na Cluj kwenye mechi ya Europa League Alhamisi

Dzeko, mwenye miaka 34, ana mabao matatu na asisti moja katika michezo saba ya mashindano yote hadi sasa msimu huu.


 

Usichelewe Kukamata Mkwanja Huu!

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

21 Komentara

    afadhali kijana rudi uwanjani uendelee kupiga mpira

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Bora arudi aendelee kukipiga.

    Jibu

    Vizuri Sana ngoja aludi kwenye kazizake kiungo huyo

    Jibu

    Habari njemaa.

    Jibu

    Safii karibu tena kambini

    Jibu

    Good news.pole Sana kwa maradhi

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Covid imekua tatizo

    Jibu

    Saf

    Jibu

    Vizur kama afya imeimarika

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    God is good

    Jibu

    Habari zuri kwake

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Ni jambo la maana sana kushukuru

    Jibu

    Habali nzuli

    Jibu

    Safi karibu tena kambini

    Jibu

    Habali nzuri sana

    Jibu

Acha ujumbe