Ni utamaduni wa kawaida kwenye mchezo wa soka kuwapongeza wachezaji na makocha waliofanya vizuri kwenye mwezi husika. EPL wameendelea walipoishia.
Mohamed Salah (Liverpool) na Thomas Tuchel (Chelsea) wameibuka kidedea kwenye tuzo za mchezaji na kocha bora wa EPL kwa mwezi Oktoba.
Salah yupo kwenye kiwango bora kwa sasa akiwa amefanikiwa kupachika magoli 5 na kutoa pasi 4 za magoli kwenye michezo 4 ya ligi mwezi Oktoba.
✅ 4 wins
⚽ 14 goals
⛔ 3 clean sheets@ChelseaFC's Thomas Tuchel is the @BarclaysFooty Manager of the Month!#PLAwards pic.twitter.com/VtPDtvKqmy— Premier League (@premierleague) November 12, 2021
Tuchel ameiongoza Chelsea kwenye michezo 4 wakati The Blues wakipata magoli 14 huku wakiwa hawajaruhusu goli lako kuguswa kwenye michezo 3.
Unawezaje kuikosa hii! njia rahisi ya kutengeneza mkwanja katika kasino maridhawa za meridianbet. Muda wa kufurahia na kutengeneza mkwanja ipo mikononi mwako unasubiri nini?