Napoli wanaripotiwa kuwa wanajiandaa kumpa ofa ya mkataba mpya Fabian Ruiz kuwazima mabingwa wa La Liga Real Madrid na Barcelona.
Nyota huyu wa Uhispania amevivutia vilabu hivi kutoka nchini kwake na vinara hawa wawili wa La Liga wameripotiwa kupenda kazi yake.
Kwa mujibu wa Calciomercato.com, Rais Aurelio De Laurentiis ameanza kufanyia kazi mkataba mpya kumbakiza staa huyu hadi Juni 2025 kwa kiungo huyo, dili ambalo linatarajiwa kumuongezea mshahara wake wa sasa wa € 1.5m kwa mwaka.

Katika mkataba huo mpya, wanatarajia kuingiza kifungu cha kumnunua kwa mkataba wake cha zaidi ya €100m ili kuwakimbiza wanaomfukuzia, wakati nyota huyu wa zamani wa Real Betis akijiendeleza vyema chini ya uongozi wa Gennaro Gattuso pale San Paolo.
Kocha wa zamani wa Betis Quique Setien, ambaye sasa yuko Barcelona, ​​amekuwa akihusishwa na mchezaji huyo lakini Napoli wamedaiwa kuweka dau la € 80m kwa staa huyu mwenye umri wa miaka 24 na hivyo kuwaweka mbali na wanaomvizia.
Mkataba wa sasa wa Fabian huko San Paolo unamalizika mnamo Juni 2023.
naona kuna hali ya hewa nzuri napoli kwa sasa
Asante kwa taarifa#meridianbettz
Nyota huyu wa Uhispania amevivutia vilabu vingi Sana pia Ni mchezaji mzuri
Wamefurahishwa na kiwango chake
Nyota huyu wa ispania na nimchezaji mzuri
Fabian Luiz n kiungo mzur sana tena anaweza kuleta mabadiliko makubwa akiwa Napoli
Asante meridianbet kwa taarifa
Asante meridian kwa taarifa
Ni haki yake kuongezewa mkataba mpya
Hongera luiz.
Ni kiungo mzuri anastahili
Shukran meridian kwa taarifa
Anastahili nikiungo mzuri sana
Hongera yake Napoli bado wanahitaji huduma yake
He deserve it
Fabian Luiz ni mchezaji mzuri
Napoli kupo vizuri Sasa pata Waka Mambo mazuri ya husajiri hayo
Ruiz yuko vizur
Napoli itakuwa vizuri
Fabian luiz Ni mchezaji mzuri ndiomaana wanamgombania
Ruiz yuko vizuri
Safi sana Ruiz kaza buti utadumu katika gemu.
huu ndio muda wa RUIZ kupiga pesa, maana kama zaidi ya vilabu viwili tena vikubwa vinamuhitaji ni ishara kwamba nyota imewaka, akaze buti ataona mafankio
Ruiz ni mchezaji mahiri sana
Shida hapo itakuja kwenye ndoto ya mchezaji kuvichezea vilabu hvyo vikubwa viwili na bugana atalolipwa NAPOLI wanaweza shindwa mshawishi kubaki
Asante meridian bet kwa taharifa hz
Safi sana
Wampe tu
Fabby yupo vizuri…
Nampenda sana Fabian mnyama #Meridianbettz
Safi Sana kapige mpira
Ruiz amekuwa Lulu sasa, Hapo pesa ndo itaongea
unastahili ruiz ongera
Hanger zake Ruiz
Napoli wamepata jembe
Ahsante kwa taarifa #meridianbettz