Fabinho: Taji la Pili Litakuwa Spesho Sana!

Fabinho amekiri kuwa ikiwa Liverpool watapata taji la pili, taji hili litakuwa muhimu na la kipekee zaidi ya lile lililopita na litaweka Liverpool kwenye kumbukumbu nzuri ya soka.

Liverpool walitwaa taji lao la kwanza baada ya miaka 30 mwezi Julai, baada ya kuwatupa mbali kwa pointi 18 Man City waliokuwa wakitetea taji hilo.

Msimu huu umekuwa mgumu, na ni mwendelezo wa changamoto zilizoanza tangia msimu uliopita, janga la Corona likiwa ni tatizo kubwa zaidi lililokwamisha sana shughuli za soka.

Fabinho: Taji la Pili Litakuwa Spesho Sana!

Msimu huu Liverpool wamekuwa na changamoto ya majeraha, wakimkosa beki wao muhimu Virgil Van Dijk na pia Joe Gomez kwa kipindi fulani.

Lakini Fabinho anaamini kuwa ikiwa watashinda kwa mara nyingine taji la Ligi Kuu ya Uingereza,. basi hili litawapa heshima kubwa zaidi na litakuwa taji la kipekee kwenye historia ya klabu.

” Ukizingatia kila kitu kilichotokea mwaka huu, ugumu wote wa kutokuwa na mashabiki uwanjani na ratiba ngumu za mechi na majeruhi tuliopata, yote haya yanafanya taji la pili kuwa la kipekee zaidi kuliko lile la awali.” – Fabinho


 

VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???

SOMA ZAIDI

15 Komentara

    Ongera zake

    Jibu

    Si msimu huu

    Jibu

    Mambo moto

    Jibu

    Mambo yanazidi kunoga

    Jibu

    Mambo yanazidi kuwamoto

    Jibu

    True say

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Vizuri sana

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Hongera zake

    Jibu

    Kwa kweli litakua si la mchezo

    Jibu

    Hongera Sana

    Jibu

    Mambo yanazidi kutalaladi

    Jibu

    Naombea Man Uwapate jamani

    Jibu

    Mimi nawapa macho

    Jibu

Acha ujumbe