Fadlu Davids Awakataa Wanne

Makala iliyopita
Hummels Anukia BolognaMakala ijayo
GAMONDI ATOA MSIMAMO MKALI
Sababu za kutoridhishwa na wachezaji hao ni kuongezeka kwa kilo ambapo hii inatajwa inamhusu golikipa Ayoub Lakred, kutoendana na mahitaji ya mfumo wa timu, Uvivu, lakini pia kukosa nishati ya kutosha kocha huyo anaelezwa anahitaji wachezaji wenye nishati ya hali ya juu kwenye kikosi chake kutokana na aina ya soka lake.