Fainali za kombe la EFL 2020/21 zimesogezwa mbele kutoka mwezi Februari kwenda Aprili ili wanaweza kuhusisha mashabiki wengi iwezekanavyo.
Fainali hizi awali zilitarajiwa kuwa zingefanyika Februari 28, 2021, lakini kumekuwa na changamoto zaidi kutokana na janga la Corona.
Janga hili limeendelea kuwa changamoto kwa ushiriki wa mashabiki kwenye viwanja vya soka nchini Uingereza, wakati EPL wakiwa wameshaanza kuruhusu idadi ndogo ya mashabiki.
Kwa mujibu wa EFL, wanaamini hadi kufikia mwezi Aprili kutakuwa na mabadiliko ambayo yanaweza kuwaruhusu mashabiki kusafiri na kuhudhuria viwanjani.
“Idadi ya mashabiki watakaoruhusiwa inategemea muongozo unaowekwa na serikali, tunaamini kusogeza tarehe mbele mwakani kutatoa fursa nzuri kwa timu na mashabiki kuhudhuria.” -Taarifa ya EFL
Kwa sasa michuano ya EFL ipo katika hatua ya robo fainali. Huku mabingwa watetezi Manchester City wakitarajia kuumana na Arsenal Jumanne hii, wakati Brentford wakiwakaribisha Newcastle United. Tottenham naye dhidi ya Stoke City, pia Manchester United wakisafiri kumenyana na Everton Jumatano.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???
Issa
Corona inaharibu
Saupha mohamed
Corona imeharibu sana
Shakila mrope
Hili janga la corona limeharibu mambo mengi san
Flomena
Duuu huu ugonjwa ni shidaa
Sarah
Corona imeharibu Mambo mengi sana
Caroline
Corona imevuruga mambo
Dorophina
Corona imeharibu sana tasnia ya michezo mashabiki wamekosa burudani live
Hopemwaikuka
Bora hvyo
Mwanahamisi
Corona noma
Adelta
Coronavirus imeharibu mambo mengi
Kubwa zaidi kwenye ulimwengu wa soka
aisha
Covid 19 ni tishio
Saupha mohamed
Corona cyo poa
Lydia Emmanuel Magoti
Duu sio poa
David Pere
Kwa mujibu wa EFL, wanaamini hadi kufikia mwezi Aprili kutakuwa na mabadiliko ambayo yanaweza kuwaruhusu mashabiki kusafiri na kuhudhuria viwanjani.
Fatina mfingi
Duuh
farida ahmad
Duh nouma Sana
Tatu
Corona sio poa
warda
Sio mbaya