Fiorentina Wanamtupia Jicho Malcuit Kama Mbadala wa Lirola

Klabu ya Fiorentina imeripotiwa kuwa ipo kwenye harakati za kumnasa Kevin Malcuit wakati kukiwa na tetesi zinazobamba zaidi kuwa Pol Lirola anaondoka klabuni hapo.

Taarifa zinataja kuwa Fiorentina wamewasilisha ombi la kumsajili Malcuit kwa Napoli wakati ambao staa wake Lirola akitarajoa kwenda Olympique Marseille.

Fiorentina Wanamtupia Jicho Malcuit Kama Mbadala wa Lirola

Kwa mujibu wa vyanzo vya habari za michezo za Italia, Sportitalia na Gazzetta dello Sport kupitia Alfredo Pedullà, tayari wameshawasilisha ofa yao kwa nyota huyo wa miaka 29.

Mkatyaba wa staa huu ulikuwa unafika tamati Juni mwaka 2022 na mpaka sasa amecheza mechi zake 2 msimu huu ambazo aliingia akitokea benchi, lakini hakupata nafasi tena baadaye ya kurejea kikosini kwa sababu ya jeraha la goti tangia mwezi Oktoba mwaka jana.

Malcuit anatarajiwa kuwa ataweza kuliziba vyema pengo la Lirola, ambaye amekuwa akihusishwa na mpango wa kuhama kwenda Olympique Marseille katika dirisha hili la Januari.


JIUNGE NA FAMILIA YA MERIDIANBET BURE!!!!

Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??

BOFYA HAPA

19 Komentara

    Duuh!

    Jibu

    Mambo moto

    Jibu

    Fiorentina wafanye juhudi ili waweze kupata saini ya kelin malcuit

    Jibu

    Itakuwa vyema sana

    Jibu

    Malcuit yupo vizuri atawafaa

    Jibu

    Sio mbaya

    Jibu

    Nomaaa

    Jibu

    Itakuwa vizuli

    Jibu

    Itakuwa vyema

    Jibu

    Utakuwa poa

    Jibu

    Mambo moto

    Jibu

    itakua vizuri

    Jibu

    Itakuwa poa sana

    Jibu

    Malcuit yupo vizuri

    Jibu

    Wakaze tu watampata

    Jibu

    Penye nia pana njia

    Jibu

    Noma

    Jibu

    Itakua poa sn

    Jibu

    Ni saf sana

    Jibu

Acha ujumbe