Bosi na Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Almas Kasongo amesema kwenye nyakati hizi za Ligi kwenda ukingoni watakuwa makini kufuatilia matukio yote ya Michezo. Kasongo amesema …
Makala nyingine
KOCHA wa Simba, raia wa Algeria Abdelhack Benchikha amesema kuwa kwenye moyo na akili yake Kuna kitu kimoja kinachoitwa Simba kwenda nusu fainali ikiwa kwenye mikono yake. Benchikha amefunguka kuwa, …
Kocha wa klabu ya Chelsea Mauricio Pochettino ameonesha kusikitishwa na majeraha ambayo ameyapata mchezaji wake raia wa kimataifa wa Ubelgiji Romeo Lavia. Pochettino wakati akiongea na wanahabari leo amesema “Ni …
Klabu ya Real Madrid unaweza ukasema kazi imebaki kwao tu kwa beki raia wa kimataifa wa Canada anayekipiga kwa mabingwa wa Ujerumani klabu ya Bayern Munich Alphonso Davies. Unaweza kusema …
Khvicha Kvaratskhelia kuna uwezekano atasalia Napoli baada ya msimu wa joto lakini lazima atie saini nyongeza ya kandarasi ambayo labda itajumuisha kifungu cha kutolewa. Kvaratskhelia ameweka historia akiwa na Georgia, …
Gleison Bremer sio beki pekee wa Juventus anayelengwa na vilabu vya EPL, Gazzetta linaripoti kuwa Liverpool wanatayarisha ofa kwa Dean Huijsen. Gazzetta dello Sport la leo linaripoti Borussia Dortmund, RB …
Manchester United wanaripotiwa kuwa tayari kulipa kiasi cha €60m cha kutolewa katika mkataba wa beki wa Juventus Gleison Bremer, huku Bianconeri akijutia dili hilo. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil …
Beki wa klabu ya OGC Nice na timu ya taifa ya Ufaransa Jean Clair Todibo atatimka ndani ya timu hiyo mwishoni mwa msimu huu na vilabu kadhaa vikitajwa kuwania saini …
Kiungo wa kati wa Milan Ismael Bennacer huenda akauzwa sokoni, huku Arsenal na vilabu vya Saudi Arabia vikiwa na nia ya kutaka. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Algeria yuko chini …
Huku Olivier Giroud akielekea LAFC, Milan wanahitaji mbadala wake na wanamtazama Goncalo Ramos, lakini watahitaji masharti maalum kutoka kwa PSG. Inasemekana kuwa Giroud amekubali kusaini mkataba wa miezi 18 na …
Ripoti zinaongezeka kuwa Milan na Mike Maignan wako mbali sana katika mazungumzo ya kusaini mkataba mpya, hivyo anaweza kuuzwa msimu huu wa joto. Kipa huyo anahusishwa na klabu hiyo hadi …
UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba hauna tatizo na wapinzani wao kwenye anga la kimataifa Mamelodi Sundowns kwa kuwa vita yao ni ndani ya dakika 90 uwanjani. Yanga wameweka wazi kuwakama …
KIUNGO maarufu Kwa Sasa ndani ya Yanga Pacome Zouzoua anatarajiwa kutua Dar es salaam leo tayari Kwa maandalizi ya mchezo dhidi ya Mamelody Sundowns, Machi 30. Pacome alikuwa barani Ulaya …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ujerumani Toni Kroos inaelezwa yuko kwenye hatua za mwisho za kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo mpaka …
Klabu ya Manchester United imeanza kuhusishwa na kiungo wa kimataifa wa Ubelgiji Amadou Onana ambaye anakipiga katika klabu ya Everton inayoshiriki ligi kuu ya Uingereza. Amadou Onana amekua kwenye kiwango …
Beki wa kimataifa wa Uholanzi Matthijs De Ligt ameweka wazi hana mpango wa kuondoka ndani ya viunga vya Allianz Arena na badala yake ataendelea kuitumikia klabu hiyo. De Ligt amekanusha …
Beki wa kulia wa klabu ya Manchester City na nahodha wa klabu hiyo Kylie Walker bado haijajulikana kama ataweza kuwepo katika mchezo dhidi ya klabu ya Arsenal siku ya Jumapili. …