Makala nyingine

Henock Inonga Baka beki wa kimataifa wa Congo anayeitumikia klabu ya Simba inayoshirki ligi kuu ya Tanzania bara amefanikiwa kuitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Congo kitakachoenda kushiriki …

Twiga Stars timu ya taifa wanawake ya Tanzania imefanikiwa kupata ushindi huko Afrika kusini kwenye michuano inayoendelea huko ya Cosafa. Twiga wamefanikiwa kupata ushindi wa magoli matatu kwa bila dhidi …

Mchezaji nyota wa klabu ya Barcelona Pierre-Emerick Aubameyang ametangaza kustaafu soka la kimataifa na amethibitisha kuwa hataiwakilisha tena taifa la Gabon ila bado ataendelea kucheza soka la kulipwa. Aubameyang ambaye …

Kocha wa timu ya taifa ya Malawi Mario Marinica amewakosoa waandaji wa michuano hiyo kutokana na huduma mbovu walizokuwa wanapatiwa timu ndogo kulinganisha na timu kubwa kwenye mashindano hayo. Wachezaji …

Mambo yanazidi kubadilika kuelekea hatua ya 16 bora. Bingwa mtetezi wa AFCON, Algeria sasa ni rasmi ameyaaga mashindano. Kwa namna ya kipekee na kustaajabisha, Algeria wanaishia hatua ya makundi kunako …

Nigeria imepata nafasi ya kufuzu katika hatua inayofuata ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika inayoendelea nchini Cameroon. Super Eagles waliilaza Sudan 3-1 Jumamosi na sasa wanaongoza Kundi D. …

Michuano ya AFCON iliyoahirisha mwaka 2021 sasa kuendelea mwaka Januari 2022 wakati ligi kuu ya Uingereza ikiwa imepamba moto huku vilabu vingi vikipoteza wachezaji wake mahiri kwenye wakati muhimu. Habari …

Nyota wa timu ya Crystal Palace Wilfried Zaha ameitwa tena kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Ivory Coast ambayo inatarajia kushiriki mashindano ya AFCON mwezi January 2022. Wilfried Zaha …

Mshambuliaji wa timu ya Chelsea Hakim Ziyech hatasafiri kurudi Afrika kwa ajiri ya kuja kuliwakilisha taifa lake la Morocco kwa sababu kocha mkuu wa timu ya taifa Vahid Halilhodzic kutomjumuisha …

Klabu ya Simba SC iliyo na maskani yake mitaa ya Msimbazi imeondolewa rasmi katika mashindano ya klabu bingwa Afrika baada kushindwa kufunga magoli manne hapo jana dhidi ya Kaizer Chiefs. …

Kaizer Chiefs, au the Amakhos wana ushindi wa magoli manne walijipatia katika hatua ya mkondo wa kwanza dhidi ya Simba kule Afrika ya Kusini. Zikiwa zimesalia saa chache kabla ya …

1 2