This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Makala nyingine
Makala mpya
Baba Rabiat Aweka Ahadi Simba Kuifunga Ahly| Mamelodi Watua Kibabe
Shabiki kindakindaki wa Yanga anayefahamika kama Baba Rabiat na wakati mwingine hutumia jina la Shetani wa Yanga, ameteka hisia za mashabiki wengi wa simba sc na yanga sc kwa namna …
Mamelodi Watua Usiku, Pacome Aiwahi Yanga
Kikosi cha Mamelodi Sundowns kimewasili usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere tayari kabisa kukipiga na Yanga SC katika mchezo wa Robo fainali ya Ligi ya …
Milan Yamuhitaji Goncalo Ramos Kwa Mkopo
Huku Olivier Giroud akielekea LAFC, Milan wanahitaji mbadala wake na wanamtazama Goncalo Ramos, lakini watahitaji masharti maalum kutoka kwa PSG. Inasemekana kuwa Giroud amekubali kusaini mkataba wa miezi 18 na …
Juventus Wanaweza Kumtoa Iling-Junior
Juventus wako tayari kumnunua mchezaji wa timu ya taifa ya Uingereza chini ya umri wa miaka 21, Samuel Iling-Junior na uwezekano wa kuhama Ligi Kuu msimu huu, amesema Fabrizio Romano. …
Milan Inahangaika Kukubaliana na Masharti ya Maignan
Ripoti zinaongezeka kuwa Milan na Mike Maignan wako mbali sana katika mazungumzo ya kusaini mkataba mpya, hivyo anaweza kuuzwa msimu huu wa joto. Kipa huyo anahusishwa na klabu hiyo hadi …
YANGA KUJIKAZA KISABUNI KWA MAMELODI
UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba hauna tatizo na wapinzani wao kwenye anga la kimataifa Mamelodi Sundowns kwa kuwa vita yao ni ndani ya dakika 90 uwanjani. Yanga wameweka wazi kuwakama …
PACOME ANATUA LEO DAR
KIUNGO maarufu Kwa Sasa ndani ya Yanga Pacome Zouzoua anatarajiwa kutua Dar es salaam leo tayari Kwa maandalizi ya mchezo dhidi ya Mamelody Sundowns, Machi 30. Pacome alikuwa barani Ulaya …
Toni Kroos Kuongeza Mkataba Madrid Mpaka 2025
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ujerumani Toni Kroos inaelezwa yuko kwenye hatua za mwisho za kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo mpaka …
Manchester United Yahusishwa na Onana wa Everton
Klabu ya Manchester United imeanza kuhusishwa na kiungo wa kimataifa wa Ubelgiji Amadou Onana ambaye anakipiga katika klabu ya Everton inayoshiriki ligi kuu ya Uingereza. Amadou Onana amekua kwenye kiwango …
De Ligt: Sina Mpango wa Kuondoka Bayern
Beki wa kimataifa wa Uholanzi Matthijs De Ligt ameweka wazi hana mpango wa kuondoka ndani ya viunga vya Allianz Arena na badala yake ataendelea kuitumikia klabu hiyo. De Ligt amekanusha …