Makala nyingine

Klabu ya Bayer Leverkusen ambayo inakipiga kule ligi kuu ya Ujerumani, BUNDESLIGA imemtimua kazi ambaye alikuwa kocha wao Erik Ten Hag baada ya kukosa matokeo mazuri kwenye mechi mbili alizocheza …

Mshambuliaji wa klabu ya Fc Bayern Munich na nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane imetaarifiwa anasumbuliwa na majeraha ya misuli ya nyama za paja katika mchezo wa …

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Ujerumani klabu ya Bayer Leverkusen imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao manne kwa matatu mbele ya klabu ya Wolfsburg katika mchezo mgumu uliopigwa katika …

Klabu ya Bayern Munich baada ya kukamilisha dili la kumuuza Mathijjs De Ligt kwenda klabu ya Manchester United sasa wamemgeukia beki wa klabu ya Bayern Leverkusen Jonathan Tah. Vigogo hao …

Klabu ya Rb Leipzig inaelekea kushinda mpambano wa kumbakiza kiungo wa kimataifa wa Uholanzi Xavi Simons ndani ya klabu hiyo licha ya ushindani mkubwa waliokutana nao. Rb Leipzig wanamuhitaji Xavi …

Klabu ya Fc Bayern Munich wanatajwa kupata asilimia 50% kwenye dili la mshambuliaji Joshua Zirkzee ambaye amejiunga na klabu ya Manchester United ya hivi karibuni. Klabu ya Bayern Munich kuchukua …

Klabu ya Fc Bayern Munich ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa beki wa klabu ya Bayern Leverkusen raia wa kimataifa wa Ujerumani Jonathan Tah. Bayern Munich wanataka …

Beki wa kimataifa wa Ujerumani ambaye alikua anakipiga ndani ya klabu ya Borussia Dortmund Matts Hummels ametangaza kuondoka klabuni hapo baada ya kudumu klabuni hapo kwa miaka isiyopungua 10. Matts …

1 2 3 4 33 34 35
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.