Bayern Munich wamekumbwa na pigo kubwa baada ya nyota wao chipukizi Lennart Karl kupata majeraha ya misuli yatakayomuweka nje kwa muda. Kiungo huyo mshambuliaji mwenye umri wa miaka 18 anatarajiwa …
Makala nyingine
Klabu ya Bayern Munich imeendelea kuimarisha harakati zake za kutwaa ubingwa wa Bundesliga baada ya kuifunga Borussia Mönchengladbach mabao 4-1 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Allianz Arena. Bayern ilianza …
Mchezaji wa zamani wa akademi ya Bayern Munich na gwiji wa timu ya taifa ya Ujerumani Toni Kroos hajawahi kuwa mtu wa kuficha maneno yake. Katika toleo la hivi karibuni …
Usiku wa juna Luis Diaz aliwaka moto kwa kufunga hat-trick ya kuvutia huku Harry Kane akipachika mabao mawili kwa njia ya penalti, Bayern Munich wakiiadhibu Hoffenheim kwa ushindi mnono wa …
Mkurugenzi wa michezo wa Bayern Munich, Max Eberl, Jumatatu alithibitisha kuwa klabu iko kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba wa Harry Kane. Mshambuliaji huyo wa England mwenye umri wa miaka 32, …
Klabu ya Bayer Leverkusen ambayo inakipiga kule ligi kuu ya Ujerumani, BUNDESLIGA imemtimua kazi ambaye alikuwa kocha wao Erik Ten Hag baada ya kukosa matokeo mazuri kwenye mechi mbili alizocheza …
Mshambuliaji wa klabu ya Fc Bayern Munich na nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane imetaarifiwa anasumbuliwa na majeraha ya misuli ya nyama za paja katika mchezo wa …
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Ujerumani klabu ya Bayer Leverkusen imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao manne kwa matatu mbele ya klabu ya Wolfsburg katika mchezo mgumu uliopigwa katika …
Klabu ya Fc Bayern Munich wana matumaini makubwa ya kumbakiza kiungo mshambuliaji wao Jamal Musiala ambaye anakaribia kumaliza kandarasi yake ndani ya timu hiyo muda mchache ujao. Mkurugenzi wa wa …
Klabu ya Bayern Munich baada ya kukamilisha dili la kumuuza Mathijjs De Ligt kwenda klabu ya Manchester United sasa wamemgeukia beki wa klabu ya Bayern Leverkusen Jonathan Tah. Vigogo hao …
Klabu ya Borussia Dortmund imewawekea ngumu klabu ya Juventus ambao walikua wanamfukuzia kwa karibu winga wa klabu yao Karim Adeyemi raia wa kimataifa wa Ujerumani. Juventus walielezwa kuwasiliana na winga …
Klabu ya Rb Leipzig inaelekea kushinda mpambano wa kumbakiza kiungo wa kimataifa wa Uholanzi Xavi Simons ndani ya klabu hiyo licha ya ushindani mkubwa waliokutana nao. Rb Leipzig wanamuhitaji Xavi …
Klabu ya Fc Bayern Munich wanatajwa kupata asilimia 50% kwenye dili la mshambuliaji Joshua Zirkzee ambaye amejiunga na klabu ya Manchester United ya hivi karibuni. Klabu ya Bayern Munich kuchukua …
Klabu ya Fc Bayern Munich ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa beki wa klabu ya Bayern Leverkusen raia wa kimataifa wa Ujerumani Jonathan Tah. Bayern Munich wanataka …
Mchezaji wa zamani wa klabu ya Borussia Dortmund na timu ya taifa ya Uturuki Nuri Sahin ametangazwa rasmi kurithi mikoba ya aliyekua kocha wa timu Dortmund Edin Terzic. Kocha Edin …
Beki wa kimataifa wa Ujerumani ambaye alikua anakipiga ndani ya klabu ya Borussia Dortmund Matts Hummels ametangaza kuondoka klabuni hapo baada ya kudumu klabuni hapo kwa miaka isiyopungua 10. Matts …
Klabu ya Bayern Munich imefanikiwa kukamilisha usajili wa beki mpya klabuni hapo raia wa kimataifa wa Japan Hiroki Ito kwa dau la €30 milioni kutoka klabu ya VFB Stuttgart. Bayern …

