Thursday, June 8, 2023

Bundesliga

HABARI ZAIDI

Bayern Munich Yarejea Kileleni Bundesliga

0
Klabu ya Bayern Munich leo imefanikiwa kurejea kwenye njia ya ushindi baada ya kufanikiwa kushinda kwa mabao mawili dhidi ya klabu ya Hertha Berlin...

Tuchel Aiambia Bayern Munich Kuonyesha Kiwango Bora

0
Thomas Tuchel amekiri kwamba Bayern Munich wamefikia hatua ambapo "hakuna kitu rahisi" huku akitaka timu yake inayoyumba ionyeshe hisia ya kupoteza nafasi ya kwanza...

Bellingham Amesema Yupo Tayari Kutoa Kila Kitu Dortmund

0
Kiungo wa kati wa Borussia Dortmund Jude Bellingham ameapa kutoa kila kitu kabisa katika harakati za klabu hiyo kutwaa ubingwa wa Bundesliga.  Kichapo cha mabao...

Terzic: Dortmund Inakaribia Ubingwa wa Bundesliga Kuliko Hapo Awali

0
Kocha mkuu wa Borussia Dortmund, Edin Terzic anataka wachezaji wake kufaidika na nafasi yao katika mbio za ubingwa wa Bundesliga, akisema wako karibu zaidi...

Gravenberch Anataka Kuondoka Bayern Munich

0
Kiungo wa kimataifa wa Uholanzi anayekipiga klabu ya Fc Bayern Munich Ryan Gravenberch amepanga kuondoka ndani ya klabu hiyo dirisha kubwa kutokana na ufinyu...

Mane Asimamishwa Bayern

0
Mchezaji wa klabu ya Bayern Munich raia wa kimataifa wa Senegal Sadio Mane amesimamishwa kuendelea kuitumikia klabu hiyo baada ya tukio lake la kumshambulia...

Hernandez Amerejea Mazoezini Baada ya Kuumia Kwenye WC

0
Lucas Hernandez amerejea kwenye mazoezi ya Bayern Munich siku ya leo kwa mara ya kwanza tangu alipoumia kwenye Kombe la Dunia.  Beki huyo mahiri aliumia...

Tuchel Anaona Wigo Mpana wa Kuiboresha Bayern Licha Ushindi Mwepesi wa...

0
Mechi ya kwanza ya Thomas Tuchel kama kocha wa Bayern Munich inaweza kuwa ushindi mzuri kwake dhidi ya wapinzani wao Borussia Dortmund, lakini anajua...

Tuchel: Nilishangazwa Bayern Kunihitaji Wakati Huu

0
Kocha wa klabu ya Bayern Munich Thomas Tuchel amesema alishangazwa na mabosi wa klabu ya Bayern kumtafuta kipindi hichi kwakua hakua anawaza kufanya kazi...

Tuchel Aanza Kibabe Bayern Munich

0
Kocha wa zamani wa klabu ya Chelsea Thomas Tuchel ambaye anaifundisha klabu ya Bayern Munich kwasasa amefanikiwa kuanza vizuri ndani ya timu hiyo baada...