Makala nyingine

Beki wa kimataifa wa Ujerumani ambaye alikua anakipiga ndani ya klabu ya Borussia Dortmund Matts Hummels ametangaza kuondoka klabuni hapo baada ya kudumu klabuni hapo kwa miaka isiyopungua 10. Matts …

Kocha Edin Terzic ambaye alikua kocha wa klabu ya Borussia Dortmund ametangaza kuachana na klabu hiyo baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa takribani miaka miwili na mafanikio klabuni hapo. Kocha …

Kiungo wa kimataifa wa Ujerumani anayekipiga ndani ya klabu ya Bayern Munich Jamal Musiala ameulizwa juu ya mkataba mpya ndani ya klabu hiyo, Lakini yeye amesema malengo yake ni kuona …

Klabu ya Bayern Munich inaelezwa kuongeza dau kwa klabu ya Fulham ili kumpata kiungo wa kimataifa wa Ureno Joao Palhinha ambaye wamekua wakimfukuzia kutoka dirisha kubwa la usajili lililopita. Bayern …

Klabu ya Bayern Munich kutoka nchini Ujerumani inaelezwa wamemalizana na kiungo wa kimataifa wa Ureno Joao Palhinha anayekipiga kwenye klabu ya Fulham na wako mbioni kumsajili kiungo huyo. Kiungo Joao …

Beki wa klabu ya Bayern Leverkusen raia wa kimataifa wa Burkinafaso Edmond Tapsoba ameendelea kua kivutio cha vilabu mbalimbali vikubwa barani ulaya. Beki huyo wa kimataifa wa Burkinafaso inaelezwa maskauti …

Miamba ya soka kutoka nchini Ujerumani klabu ya Bayern Munich inafukuzia saini ya beki wa kushoto wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Ufaransa Ferlan Mendy. Bayern Munich …

Klabu ya Bayern Munich imekubali tena kupokea kichapo kingine ndani ya ligi kuu ya Ujerumani leo dhidi ya timu ya Heidenheim iliyopanda daraja msimu huu kwa mabao matatu kwa mawili. …

1 2 3 4 32 33 34