Klabu ya Bayern Munich imetangaza kuongeza mkataba wa golikipa wake mkongwe Manuel Neuer hadi mwaka 2027, hatua itakayomfanya kuendelea kuitumikia miamba hiyo ya soka la Ujerumani kwa msimu mmoja zaidi. …
Makala nyingine
Kocha wa Bayern Munich, Vincent Kompany amesema ataendelea kutathmini msimu wa timu hiyo baada ya fainali ya Kombe la Ujerumani wiki ijayo, lakini amesisitiza kuwa tayari wamejiwekea kiwango kikubwa kuelekea …
Kocha wa muda wa Union Berlin, Marie-Louise Eta ameandika historia baada ya kupata ushindi wake wa kwanza tangu kuwa mwanamke wa kwanza kuinoa timu katika Bundesliga, kufuatia ushindi wa mabao …
Mshambuliaji Haris Tabakovic aliibuka shujaa kwa kuifungia bao la ushindi Borussia Monchengladbach katika dakika ya 90, wakishinda 1-0 dhidi ya Borussia Dortmund na kujihakikishia kubaki Bundesliga. Ushindi huo umewaacha Gladbach …
Mshambuliaji wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani, Serge Gnabry, ametangaza kuwa hatoshiriki kwenye Kombe la Dunia la 2026 kutokana na jeraha la paja, akisema ndoto …
Klabu ya Bayern Munich imefanikiwa kutinga fainali ya DFB-Pokal baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Bayer Leverkusen, katika mchezo wa nusu fainali uliowapa nafasi ya kuendelea kusaka mataji msimu …
Vincent Kompany alisisitiza kuwa bado kuna mengi ya kutarajia kutoka kwa Bayern Munich baada ya kutwaa ubingwa wa Bundesliga kufuatia ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya VfB Stuttgart. Harry Kane, …
Bayern Munich wamekumbwa na pigo kubwa baada ya nyota wao chipukizi Lennart Karl kupata majeraha ya misuli yatakayomuweka nje kwa muda. Kiungo huyo mshambuliaji mwenye umri wa miaka 18 anatarajiwa …
Klabu ya Bayern Munich imeendelea kuimarisha harakati zake za kutwaa ubingwa wa Bundesliga baada ya kuifunga Borussia Mönchengladbach mabao 4-1 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Allianz Arena. Bayern ilianza …
Mchezaji wa zamani wa akademi ya Bayern Munich na gwiji wa timu ya taifa ya Ujerumani Toni Kroos hajawahi kuwa mtu wa kuficha maneno yake. Katika toleo la hivi karibuni …
Usiku wa juna Luis Diaz aliwaka moto kwa kufunga hat-trick ya kuvutia huku Harry Kane akipachika mabao mawili kwa njia ya penalti, Bayern Munich wakiiadhibu Hoffenheim kwa ushindi mnono wa …
Mkurugenzi wa michezo wa Bayern Munich, Max Eberl, Jumatatu alithibitisha kuwa klabu iko kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba wa Harry Kane. Mshambuliaji huyo wa England mwenye umri wa miaka 32, …
Klabu ya Bayer Leverkusen ambayo inakipiga kule ligi kuu ya Ujerumani, BUNDESLIGA imemtimua kazi ambaye alikuwa kocha wao Erik Ten Hag baada ya kukosa matokeo mazuri kwenye mechi mbili alizocheza …
Mshambuliaji wa klabu ya Fc Bayern Munich na nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane imetaarifiwa anasumbuliwa na majeraha ya misuli ya nyama za paja katika mchezo wa …
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Ujerumani klabu ya Bayer Leverkusen imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao manne kwa matatu mbele ya klabu ya Wolfsburg katika mchezo mgumu uliopigwa katika …
Klabu ya Fc Bayern Munich wana matumaini makubwa ya kumbakiza kiungo mshambuliaji wao Jamal Musiala ambaye anakaribia kumaliza kandarasi yake ndani ya timu hiyo muda mchache ujao. Mkurugenzi wa wa …
Klabu ya Bayern Munich baada ya kukamilisha dili la kumuuza Mathijjs De Ligt kwenda klabu ya Manchester United sasa wamemgeukia beki wa klabu ya Bayern Leverkusen Jonathan Tah. Vigogo hao …

