Bayern Munich Kumchukua Tah

Makala iliyopita
Bruno Fernandes Kusaini Mkataba Mpya UnitedMakala ijayo
Barcelona Wanataka Kumuuza De Jong
Bavarians wamemuachia beki De Ligt wakijua fika kua watafanya usajili wa beki mwingine wa kati na shabaha yao ni beki wa klabu ya Bayern Leverkusen Jonathan Tah raia wa kimataifa wa Ujerumani, Beki huyo ameonesha kila dalili anataka kucheza Bavarians msimu ujao kilichobaki ni Leverkusen kupewa kiasi ambacho wanakihitaji.