Bayern Munich wamekuwa na msimu mzuri 2020 baada ya kubeba makombe 4 ndani ya mwaka mmoja.
Baada ya kubeba taji la Bundesliga, UEFA na Kombe la ligi. Bayern Munich wameibuka tena kidedea katika mchezo wa UEFA Super Cup dhidi ya Sevilla.
Mchezo ambao ulikuwa ni mgumu baada ya Sevilla kuanza kufumania nyavu kupitia mkwaju wa penati dakika ya 13. Ocampos alianza kupeleka kilio Bayern kabla ya Goretzka kurudisha goli dakika ya 34.
Mchezo ambao ulikwenda mpaka dakika 30 za nyongeza baada ya dakika 90 kumalizika kwa matokeo ya 1-1. Alikuwa ni MartΓnez Aguinaga aliyepeleka kombe Bayern Munich baada ya kupachika goli dakika ya 104.
Kwa ushindi huu, Munich wanakuwa wamecheza michezo 32 bila kupoteza hata mmoja. Hakika 2020 imewaendea vyema “The Bavarians”
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.
magdalena
bayern soka waliicheza ipasavyo walistahili kulipata kombe na wamelipata pongezi kwao
Elika
Acha tuwape hongera..walistahili kwa hilo
Zeiyana
Ukweli tu sevilla walijitaidi sana ila ndio hivyo tena bahati haikua kwao
Nasra
Hongera zake
Mwajumah
Pongez sana Bayern kwan mnastahili ilo
Dorophina
Wanastahili Bayern kupata makombe hayo wamejitahidi sana msimu wa 2020
sylvester
Bayern naweza sema ni timu bora kwa msimu wa 2019/2020 na wamestahili kua mabingwa ingawa mechi yao jana ilikua nngumu sana kwani Sevilla hawakukubali kufungwa kinyonge.
Sadick
Pamoja na msimu mzuri kwa Bayern inatakiwa kusajiri baada ya kuondokewa na wachezaji 3 waliokuwepo kwa mkopo kutoka timu nyingine#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana Wana stairi kubeba kombe wamelipambania kwajudi zote kupata ubingwa huo
Caroline
Hongera yao
Tatu
Bayern walijua kucheza mpira vizuri na kuwafurahisha mashabiki wao
Sauda
Bayern wametisha sana.
Khadija
Hongera zake
Venerose
Bayern wako vinzur
Janeflora malisa
Vzr
aisha
Wamejitahidi sana wanasitahili kuwa hivyo
Fatuma kasomo
Hongereni sana
Rose kapinga
Bayern wako vizuri sana!!
Issa
Hii ndio bayern kikos cha ushindan
Samiah
Wapo vzr Bayern
Hopemwaikuka
Bayern wamejpanga buana
Shan
Champions also win
Rehema
Hongera yake
Gabriel
wamestahili kua mabingwa ingawa mechi yao jana ilikua nngumu sana kwani Sevilla hawakukubali kufungwa kinyonge.
Frank P
Muendelezo mzuri wa ushindi
Tumaini kasalile
Congratulations
Sabrina
Bayern wako vizuri sn hongera zao
Fatina mfigi
Safi sna baryen mmejua kunifraisha
felister
hongera zao
Amiri Kayera
Wamekua na msim mzur sana
Latifa juma mohamed
Kwa ushindi huu, Munich wanakuwa wamecheza michezo 32 bila kupoteza hata mmoja. Hakika 2020 imewaendea vyema βThe Bavariansβ
David Pere
bayern soka waliicheza ipasavyo walistahili kulipata kombe na wamelipata pongezi kwao
Tahiya
Hongera kwao
Povel
Congrat kwako