RB Leipzig wamefungua milango yao kwa beki kisiki – Dayot Upamecano kuondoka klabuni hapo. Hii ni baada ya Mkurugenzi wa timu hiyo kufunguka.
Dayot Upamecano ni miongoni mwa mabeki wanaotajwa kama ni lulu kwenye soka la Ulaya kwa sasa. Akiwa na umri wa miaka 22, anawindwa na timu kadhaa barani ulaya ikiwemo Man United, Liverpool na Chelsea.
Japokuwa usajili wa Upamecano kwenye dirisha la usajili mwezi Januari hauonekani, mchezaji huyo raia wa Ufaransa ataweza kuondoka Leipzig kuanzia mwezi Julai, ili kumtoa Ujerumani, timu yeyote itakayosogelea milango ya Leipzig iwe na dau la pauni milioni 40.
Mkurugenzi wa Leipzig – Oliver Mintzlaff amesema ” tunakikosi ambacho kimejaa ubora kwenye kila nafasi kwa hiyo tutauza baadhi ya wachezaji wazuri kama itakuwa na faida ya kiuchumi na tutaendelea vizuri kwa upande wa uchezaji.”
MERIDIANBET INAKUPA NAFASI YA KUWA MILIONEA KWA KILA BAADA YA DAKIKA 5
Mchezo wa Keno unakupatia fursa ya kuibuka kidedea kupitia droo zinazochezwa kila baada ya dakika 5 tu!! Tunaposema Meridianbet ni nyumba ya mabingwa, tunamaanisha!!
Dorophina
Nice update
Magdalena
Aende tu akatafute riziki kwingine
Shakila mrope
Habari njema
Gabriel
Big deal
Sania
Ni vizur
Adelta
Aende tu
Angelina
Nice update
Rahmal
Nice
aisha
Safii sana
Mwanahamisi
Safi
Hopemwaikuka
Sepa tu
Ernest Kimeru
Kila la kheri Dayot Upamecano
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri
Saupha mohamed
Nice
Caroline
Asante kwa taarifa
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif meridianbet
Sabrina
Safi sana