Kila kukicha, ulimwengu wa soka unakumbwa na habari mbalimbali – zipo za kufurahisha, kusikitisha, kushtusha na zingine zinashangaza. Jerome Boateng ashangazwa na tetesi za kuondoka Bayern Munich.
Licha ya kwamba mkataba wa Jerome Boateng unaisha mwisho wa msimu huu, taarifa zilizosambaa kwenye vyombo mbalimbali vya habari vikimuhusisha Mjerumani huyu kutimka Bayern, zinamshangaza.
Kwa mujibu wa Boateng, “hakuna aliyenifuata na kuzungumza na mimi, sikuwa ninafahamu chochote kuhusu hilo, nimeshangaa.” alisikika akizungumza na kituo cha Suddeutsche Zeitung.
Ilisemekana Tottenham wanapambana kumpata Jerome Boateng kwani wamekuwa wakimsaka kwa muda mrefu hivyo kumaliza kwake mkataba na Bayern ni habari njema kwa Jose Mourinho.
Kama ilivyo kwa beki mwenzake – David Alaba, Boateng hana uhakika na suala la kuongezewa mkataba ili kuendelea kuitumikia Bayern Munich ambayo amekuwa nayo kwa miaka 9 sasa.
Tangu Boateng aondoke Manchester City mwaka 2011, ameshabeba makombe 2 ya Ligi ya Mabingwa – UEFA kati ya mataji mengine mengi aliyoyabeba akiwa na Bayern Munich.
Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!




Carolyn
Kawaida.binadamu wameumbiwa kuongea
magdalena
duh watu wanajua kuzusha balaa
Dorophina
Mambo ya mtandao yamekuwa mengi sana
Tatu
Binadamu wamezoea kuongea
Lydia Emmanuel Magoti
Binadamu kuongea ndio washazoea
Angelina
Goodupdate
Rahma
Bina damu barahah
Fatina mfingi
Binadamu maneno kawaida yao!!
Sauda
Uzushi noma.
felister
duh
Shakila mrope
Binadam wana roho mbaya
Povel
Co times waandishi waandika habar iliwawez kujaribu kufany ushawish kuuza habar mtandao au kwny gazeti hiiiiiii ndo dunia yetu ya leo ya utandawazi
Nasra
Maneno ni kawaida
Adelta
Waandishi wamekuwah watu wakutengeneza Jambo iliwawez kuuza habar mtandao au kwny magazeti mtaani
lombo
mambo ni moto na meridianbet
aisha
Boateng ni mchezaj mzur sana na bayern kumuacha itakua nipengo kubwa
Ester jackson
Hii nikawaida ya waandishi kufanyambo yasiyo ya ukweli zaidi yao wanaweka masilihi zaidi kuliko chochote
Issa
Boateng kuhama ni ngumu
Hopemwaikuka
Ndo binadam hao
Janeflora malisa
Binadam hatuishiw porojo
Latifa juma mohamed
Kwa kawaida fasihi andishi na kauli taarifa ziko sawa kbs waandishi wa habari ninl kawaida kuzusha Mambo coz wanatumia kauli hizi.
David Pere
Ester jackson
November 14, 2020 at 5:54 pm
Hii nikawaida ya waandishi kufanyambo yasiyo ya ukweli zaidi yao wanaweka masilihi zaidi kuliko chochote
Asia Abdy
Mmh hatari
Saupha mohamed
Dhuuu binadamu c watu wazuri
zeiyana
wahandishi wa habari ndio walivyo kila siku lazima waandike habari mpya ili walipambe gazeti lao
Elika
Hatar sana
Sabrina
Aishi nazo tu hizo ni tetesi tu haimaanishi kuwa ni kweli
Mwajumah
Duuh watu wanajua kuzusha balaa