Nyota wa Bayern, mshindi na mfungaji kinara wa Ligi ya Mabingwa 2019/20 Robert Lewandowski anakupa ujumbe huu leo kuwa; “Kamwe usiache kuwa na ndoto”.
Bayern Munich wameweka rekodi ya kushinda mataji matatu kwa msimu wa 2019/20 baada ya kuwachapa bao 1-0 PSG. Hili ni taji la sita la Ligi ya Mabingwa kwa Bayern.
Katika mechi ngumu iliyokuwa na uhaba wa magoli, Kingsley Comans aliichungulia nyavu, ahsante kwa goli lake la kichwa lililowapa Ubingwa.
Huu ulikuwa ni usiku wa kipekee, na usiku wa kumbukumbu muhimu kwa Robert Lewandowski ambaye hakuwahi kufanikiwa kushinda taji hili kabla. Jitihada za kushinda taji hili kabla hajafika PSG ziligonga mwamba alipokuwa Dortmund msimu wa 2012-13 walipopoteza dhidi ya timu yake ya sasa.
Staa huyu ameshinda mataji 8 ya Bundesliga, kwa msimu ulipita amefikisha magoli 55 kwa michuano yote. Staa huyu ametoa ujumbe wake juu ya kutokubali kushindwa kwa kile unachokiamini. Soka linatufunza zaidi ya burudani.
Robert Lewandowski
“Kamwe usiache kuwa na ndoto, kamwe usikubali kushindwa ukifeli. Fanya bidii kutimiza malengo yako. Asante kwa kutupa sapoti na kuamini katika uwezo wetu. Sisi ni mabingwa wa Ulaya.”
Licha ya kutopata goli kwenye fainali dhidi ya PSG, Lewandowski amefunga magoli 15, akiwa amemzidi Erling Haaland kwa magoli 5. Pia alibakiza magoli mawili kufikia rekodi ya Ronadlo kwa msimu mmoja wa UCL.
Beti Mbio za Mbwa Mubashara
Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.


warda
Kweli unachokiota ndo unakipata Sema kinachelewa#Meridianbettz
Adelta
Lewandowski amecheza vzur Sana siku ya Jana amenifurahisha @meridianbettz
Mwanahamisi
Asante kwa makala
Lydia Emmanuel Magoti
Lewandowski yupo vizuri anajua alinifurahisha Sana jembe hilo kwakupambana
Saupha mohamed
Habari njema sana
Antony Luseno
Kweli kabisa vyema mno kuishi ndoto yako
Khadija
lewandowski namkubali sana na anajua nn anachokifanya#meridianbettz
Sadick
Maneno yake yanatia moyo na kama Ballon D’Or isingefutwa msimu huu nilitarajio angepata#meridianbettz
Issa
Ni wakati wake kutamba wamefanya kazi sana msimu huu ni timu ilio bora kwa ulaya kwa sasa,bayern wana kikosi bora sana
Ernest
Ulimwengu mzima tumefurahishwa na kiwango cha Lewandowski na kufika hatua ya kutamaa jamaa kutwaa Ballon d’Or 2020 ingawa waandaaji wa tuzo hizi wamesema kuwa hakutokuwa na tuzo hizi kwa msimu huu wa 2019/2020 kutokana na janga la Corona
magdalena
yupo katika kiwango kizuri sana
felister
kweli kabisa kamwe usikubali kushindwa fanya bidii kutimiza malengo yako
Fatuma kasomo
Habari njema
Gabriel
Robert Lewandowski kiukwel Jana alionyesha kiwango cha hali ya juu sana hapa inaonekana ndoto zake zimetimia tayar na zinazid kuwaka
rama
Maoni:hongela sana kwake na timu nzima ya bayern
Furahav
Namkubali sana jembe.
aisha
Yupo vizuri sana namkubali anakiwango kizuri sana
Shan
Msimu mzuri kwa lewandoski na bayern ni Kikosi kilicho bora msimu huu
Theckla
Yuko sahihi
Sabrina
Ni Kweli kabisa inabidi tuishi kwanye ndoto zetu hadi zitimie
Tatu
Kila mmoja ana ndoto zake ukizifanyia juhudi Bayern walikuwa na ndoto hyo ndiomasna wamechukua ushindi bila ya kuwahofia waasimu wao
Povel
Dream can True 🏆🏆🏆🏆🏆
Hope mwaikuka
Always believe in your dream u want fail
Rose kapinga
Lewandowsk mpambanaj katika ubora wako!!!!
Amiri Kayera
Wamekua na msim mzur
Genia Sikaluzwe
Habari njema
Shafii
Bayern msimu huu walikua na kikosi bora na imara walistahili kupata walicho kipata.
Theonestina
Habari njema
Latifa juma mohamed
Habari njema, na kamwe usikubali kukata tamaa juhudi na maarifa unafikia malengo yako.
marry
makala nzr
Latifa juma mohamed
Asante kwa makala
David Pere
Ulimwengu mzima tumefurahishwa na kiwango cha Lewandowski na kufika hatua ya kutamaa jamaa kutwaa Ballon d’Or 2020 ingawa waandaaji wa tuzo hizi wamesema kuwa hakutokuwa na tuzo hizi kwa msimu huu
farida ahmadi
Lewandowsk ni mchezaji mzuri Sana
Rehema
Yuko sahihi
Dorophina
Lewandowiksi yupo vizuri na makini sana
Sauda
Kweli kabisa
Zeiyana
Bayern walituonesha zaili wanachukua ubingwa ule..!kwa kuangalia matokea yao walikua na matokeo mazuri msimu wote tungeona mshangao kukaza kote walivyo kaza alafu waje kuachia sehemu ndogo kabisa ile si kweli..!big up sana Bayern
Caroline
Lewandowski yupo sahihi.huwezi kufanikiwa bila kua na ndoto
Nasra
Habari njema sana hizi
Samiah
Nihabari njema
Ester jackson
Habari njema
Fatina mfigi
Ni habar njema